Mto Chambeshi (sehemu nyekundu) katika ramani.

Chambeshi (pia Chambezi) ni tawimto kubwa la mto Lualaba na ilhali chanzo chake ni chanzo cha mbali kati ya matawimto ya beseni la Kongo kinatazamwa pia kama chanzo cha mto Kongo wenyewe.

Chanzo hicho kipo nchini Zambia karibu na Ziwa Tanganyika kwenye kimo cha mita 1,760 juu ya UB.

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya Nje

11°28′S 30°21′E / 11.467°S 30.350°E / -11.467; 30.350

Makala hii kuhusu maeneo ya Zambia bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Chambeshi (mto) kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.