Ingawa alilelewa kidini baadaye alipoteza imani hadi alipoanza maisha mapya katika Kristo kwa kubatizwa akawa mtawa wa ndani wa shirika la Wakarmeli. Jina lake la utawani lilikuwa Teresa Benedikta wa Msalaba (kwa Kilatini: Teresia Benedicta a Cruce)[1].
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.