Fujairah (kwa Kiarabu: الفجيرة) ni emirati mojawapo ya Shirikisho la Falme za Kiarabu kwenye rasi ya Uarabuni, upande wa Ghuba ya Oman. Peke yake inaundwa na milima kwa kiasi kikubwa.
Mtawala wake ni Sheikh Hamad bin Mohammed Al Sharqi.
Utemi una wakazi 225,360 (2016[2]) katika eneo la km² 1,166.
Fujairah travel guide kutoka Wikisafiri
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Asia bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Fujairah kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |