Ingmar Bergman | |
---|---|
![]() Ingmar Bergman | |
Amezaliwa | 14 Julai 1918 |
Amekufa | 30 Julai 2007 |
Kazi yake | mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa Kiswidi. |
Ernst Ingmar Bergman (14 Julai 1918 – 30 Julai 2007) alikuwa mwigizaji na mwongozaji wa filamu wa Kiswidi. Yasemekana kwamba Bergman ndiye mwanzilishi na mjuzi zaidi wa kutengeneza filamu za kisasa.
Watengenezaji wengi wa filamu duniani wamekiri kwamba kazi zao zimeathiriwa na kazi za Bergman, baadhi yao Wamarekani Woody Allen na Robert Altman, mwongozaji filamu wa Urusi Andrei Tarkovsky na mwongozaji filamu wa Japani Akira Kurosawa.
![]() |
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Ingmar Bergman kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |