Khitini (ing. chitin, kutoka gir. χιτών khiton "ganda, kinga") ni dutu ngumu nusu angavu inayofanya kiunzi nje ya wadudu na arithropodi wengine.
Inapatikana pia katika kuta ya seli za fungi.
Kikemia ni aina ya polisakaridi yaani molekuli ndefu ya kabohidrati ya (C8H13O5N)n.