Kilimanjaro Music Awards | |
---|---|
Tuzo hutolewa kwa ajili ya | Muziki tu |
Huwakilishwa na | Tanzania Breweries Limited |
Nchi | Tanzania |
Kilimanjaro Music Awards ni tuzo zinazotolewa kila mwaka kwa wasanii wote nchini Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.
Tuzo huwa zinatolewa kila mwaka kwa dhumuni la kuwapa mwamko wasanii wa Afrika Mashariki, kundeleza vipaji na usia kwa jamii ya Kiafrika kwa ujumla, hivyo hutolewa kama pongezi kwa kazi walioifanya kwa kuelimisha jamii katika kipindi cha mwaka mzima.
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kili Music Awards kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |