Trotsky mwaka 1921.

Leon Trotsky (kwa Kirusi Лев Дави́дович Тро́цкий, Lev Davidovich Trotsky, ubini wa awali Бронште́йн, Bronshtein) alikuwa Myahudi wa Urusi (Yanovka, leo nchini Ukraina, 7 Novemba 1879 – Coyoacán, Mexico City, Meksiko 21 Agosti 1940) maarufu kwa mwanamapinduzi wa kikomunisti.

Baada ya kuwa kiongozi wa kwanza wa Jeshi Jekundu na kushiriki uongozi wa Umoja wa Kisovyeti, alishindana na Stalin akaondolewa madarakani (1927) na hatimaye kufukuzwa nchini (1929).

Akiendelea kupinga siasa ya Stalin kutoka Meksiko, aliuawa baada ya majaribio yake mengi kushindikana.

Ujumbe wake hasa ulikuwa kwamba mapinduzi yanatakiwa kuwa ya kudumu.

Baadhi ya maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Leon Trotsky
Makala hii kuhusu mwanasiasa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Leon Trotsky kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.