Liseri (alifariki 540 hivi) alikuwa Askofu wa Couserans (Ufaransa) kwa miaka mingi na ilizuia mji huo usivamiwe na Wavisigothi[1].
Alitokea Hispania na kuwa mfuasi wa Fausto wa Riez.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.