Liturujia ya Toledo (au liturujia ya Kimozarabu, yaani ya kati ya Waarabu) ni liturujia ya pekee inayotumika hasa katika jimbo la Toledo (Hispania) pamoja na liturujia ya Roma.
Liturujia hiyo ilianza katika karne ya 4 na kudumu mpaka leo, ingawa kwa shida, kutokana na uenezi wa liturujia ya Roma, ambayo ni aina kubwa zaidi ya liturujia ya Kilatini.
![]() |
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Liturujia ya Toledo kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |