Mikoa ya Burundi ni ngazi ya kwanza katika maeneo ya kiutawala ya nchi hii. Burundi imegawiwa kwa mikoa au "IProvense" 18. Kila mkoa umegawiwa kwa tarafa (commune) zenye vitengo vinavyoitwa "colline" yaani vilima.
Hii ni orodha ya Mikoa (kwa Kirundi: IProvense) 18 ya Burundi:
|
|url-status=
ignored (help); Check date values in: |archivedate=, |accessdate=
(help)
|accessdate=
(help)
Mikoa ya Burundi | ![]() |
---|---|
Bubanza • Bujumbura Mjini • Bujumbura Vijijini • Bururi • Cankuzo • Cibitoke • Gitega • Karuzi • Kayanza • Kirundo • Makamba • Muramvya • Muyinga • Mwaro • Ngozi • Rumonge • Rutana • Ruyigi | |
+/- |