Ovidi

Publius Ovidius Naso (* 20 Machi 43 KK - † mnamo 17 BK) anayejulikana kwa jina fupi la Ovid alikuwa mshairi wa Roma ya Kale. Alizaliwa Italia alipoishi hadi Kaisari Augusto aliamua kumwondoa katika Italia akapewa amri kuishi katika jimbo la Dacia (Romania ya leo).

Pamoja na Virgili na Horatius atazamiwa kama mmojawapo wa washairi wakuu wa Roma ya Kale. Mengi alichoandika yalihusu mapenzi.

Ukurasa wa kwanza wa toleo la Kiingereza la Ovid la mwaka 1632

Kazi za Ovid (tarehe za kutolewa)


Viungo vya Nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Ovid