Makala haina vyanzo vya kutosha Makala (au sehemu ifuatayo ya makala) inatoa habari bila kuonyesha vyanzo au uthibitisho wowote. Ona namna ya kutaja vyanzo hapa: Wikipedia:Umaarufu na Kutaja vyanzo. Ni lazima kuboresha makala kwa kutafuta vyanzo na kuvitaja kama marejeo, la sivyo sehemu ya makala au yote kabisa inaweza ikafutwa. Unaweza kuondoa kigezo hiki mara baada ya vyanzo sahihi kuwa vimeingizwa katika makala
Rockstar4000
Imeanzishwa 2010
Aina za muziki Bongo Flava
Nchi Tanzania
Mahala Dar es Salaam, Tanzania
Tovuti Tovuti rasmi

Rockstar4000 ni jina la lebo maarufu ya muziki na televisheni kutoka nchini Afrika Kusini na ina tawi dogo nchini Tanzania.

Msanii maarufu ambaye alikuwa na hadi sasa yupo chini ya lebo hii ni Ali Swaleh Kiba ambaye mwaka wa 2017 amekuwa mkurugenzi na mshirika wa kampuni hiyo kwa upande wa Afrika Mashariki. Lebo ipo mjini Johannesburg, Afrika Kusini na mkurugenzi mkuu ni Seven Mosha na Jandre Louw.[1] Kiba na Mosha walikutana wakati wa kampeni za One8 ambayo ilikuwa inasimamiwa na mwanamuziki kutoka Marekani, R. Kelly. Tangu hapo, Kiba akawa chini ya menejimenti ya Mosha kupitia Rockstar hadi 2017 walipomuingiza kama sehemu ya kurugenzi ya Rockstar TV na lebo ya kusimamia wasanii. [2] Msanii Alikiba kwa sasa ameanzisha Record Label yake inayoitwa Kings Music

Marejeo

  1. Kiba kuwa mkurugenzi wa Rocksta
  2. Mfahamu zaidi Christine ‘Seven’ Mosha, meneja wa Alikiba Bongo Five ingizo la February 6, 2017.
Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Rockstar4000 kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.