Sanduku la Agano (kwa Kiebrania אָרוֹן הַבְּרִית ʾĀrôn Habbərît, kisasa Aron Habrit) au Ushuhuda ni sanduku lililozungumziwa katika Kitabu cha Kutoka 25:10-22.

Kadiri yake lilikuwa na mbao mbili za mawe zilizoandikwa Amri 10 ambazo Musa alipewa na Mungu kama masharti makuu ya Agano kati yake na Israeli.

Inawezekana vilikuwemo pia fimbo la Haruni na mana kidogo, ingawa 2Waf 8:9 inasema wakati wa Solomoni hivyo havikuwemo.

Sanduku lililofunikwa likibebwa na makuhani wakati wa kuvamia Yeriko chini ya Yoshua.

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Sanduku la agano
Makala hii kuhusu mambo ya Biblia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sanduku la agano kama historia yake au athari wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.