Sanamu yake katika kanisa kuu la Vaxjo.

Sifredi (pia: Sigfrid, Siegfried, Sigafridus, Sigeferd, Sigurdr; Uingereza, karne ya 10 - Vaxjo, Uswidi, 1045) alikuwa askofu mmisionari kwa miaka 40 au zaidi[1] huko Uswidi anayehesabiwa kama mtume wake kwa kuwa alimbatiza mfalme Olof III[2] na kushirikiana naye kuinjilisha nchi hiyo na Denmark, mbali ya juhudi zake huko Norwei pia[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kuwa mtakatifu.

Sikukuu yake ni 15 Februari[4].

Tazama pia

Tanbihi

  1. See Fairweather 2014, pp. 181-194.
  2. See Fairweather 2014, pp. 181-194.
  3. See Fairweather 2014, pp.198-205,
  4. Martyrologium Romanum

Marejeo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Sifredi
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.