Maghofu ya Abasia ya Whitby, sinodi ilipofanyika.

Sinodi ya Whitby (664 BK) ilikuwa sinodi ya ufalme wa Northumbria ambapo Oswiu wa Northumbria aliamua kufuata desturi za Kanisa la Roma badala ya zile za Ukristo wa Kiselti zilizosambazwa awali kutoka Iona[1][2][3][4].

Sinodi hiyo ilifanyika kwenye monasteri pacha za Hilda wa Whitby huko Streonshalh (Streanæshalch), baadaye Whitby.

Tanbihi

  1. Colgrave, Earliest Life of Gregory the Great, p. 9.
  2. see C. W. Jones introductory text to his edition of Bedae Opera de Temporibus (Cambridge, Mass., 1946) pp. 55–104.
  3. Patrick Wormald, 'Bede and the 'Church of the English', in The Times of Bede, p. 210.
  4. Brown, Rise of Western Christendom, p. 361.

Marejeo

Vyanzo vikuu

Vyanzo vingine

Viungo vya nje