Lensi ya kamera.

Upigaji picha (kwa Kiingereza Photography kutokana na maneno mawili ya Kigiriki: φωτός, phōtos, ambalo mzizi wake ni φῶς, phōs, "nuru"[1] na γραφή, graphé, "mwandiko" au "mchoro"[2] ambayo kwa pamoja yanamaanisha "kuchora kwa mwanga".[3]) ni teknolojia na sanaa ya kutengeneza picha za kudumu kwa kunasa mwanga au mionzi mingine, kwa njia ya kielektroni au ya kikemia.[4]

Kwa kawaida, lensi inatumika kuelekeza mwanga wa nje mpaka ndani ya kamera kwa muda fulani.

Matumizi ya picha hizo leo ni makubwa katika sekta nyingi.

Baada ya picha mgando (karne ya 19) binadamu alibuni pia picha za video (filamu).

Tanbihi

  1. φάος, Henry George Liddell, Robert Scott, A Greek-English Lexicon, on Perseus
  2. γραφή, Henry George Liddell, Robert Scott, A Greek-English Lexicon, on Perseus
  3. Kigezo:OEtymD
  4. Spencer, D A (1973). The Focal Dictionary of Photographic Technologies. Focal Press. uk. 454. ISBN 978-0133227192. 

Marejeo

Utangulizi

Historia

Marejeo ya kitaalumu zaidi

Vitabu vingine

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Photography
Makala hii kuhusu mambo ya fizikia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Upigaji picha kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.