Utakatifu (kutoka kitenzi "kutakata") ni ule usafi wa pekee wa Mwenyezi Mungu mwenyewe asiye na mawaa.
Kwa binadamu ni hali ya ukamilifu katika kuepukana na dhambi, na hivyo kuwa karibu na Mungu.
Neno la Kiebrania Qadosh linamhusu kwa namna ya pekee Mungu katika ukuu wake usioweza hata kufafanishwa na ule wa viumbe vyake bora[1] na unaodai yale yanayomhusu yasichanganywe na matumizi mengine[2].
Katika Kigiriki kuna neno Agios likimaanisha kutokuwa na makosa au udhaifu au uchafu[3].
|url-access=
ignored (help)
|url-access=
ignored (help)Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |