Tarakilishi za chuo kikuu cha James Madison.

Utarakilishi (kwa Kiingereza : "computing") ni utendaji unaotumia tarakilishi kwa kudhibiti na kuwasilisha taarifa[1]. Vifaa na programu tete ni ndani ya utarakilishi. Utarakilishi ni muhimu katika teknolojia ya leo.

Marejeo

  1. https://www.techopedia.com/definition/6597/computing