Wahadzabe
Maeneo ya uwindaji kwenye Serengeti.
Wahadzabe wakivuta bangi.
Wanaume wakirudi toka mawindoni.

Wahadzabe au Wahadza[1][2] ni kabila la Tanzania linaloishi hasa kandokando ya Ziwa Eyasi kwenye Bonde la Ufa na katika uwanda jirani wa Serengeti.

Leo Wahadza hawafikii 1,000:[3][4] kati yao 300–400 wanaishi bado kwa kuwinda na kuchuma vyakula bila uzalishaji, kama waliofanya mababu wao tangu awali.[5]

Wahadza hawana undugu wa karibu na kabila lingine lolote, na vilevile lugha yao ni ya pekee kabisa.[6][7][8]

Tanbihi

  1. In the Hadza language, Hadzabe'e is the feminine plural form of Hadza. The Hadza call themselves the Hadzabe'e and their language Hadzane. Other spellings are Hadzapi ('they are Hadza men') and Hatsa; other ethnonyms applied to them include Tindiga (Watindiga), Kindiga, Kangeju, and Wahi. In current English usage, Hadza is the most commonly used term.
  2. Marlowe 2010, p. 15
  3. Marlowe 2010, p. 13
  4. Marlowe 2005 (see online)
  5. Marlowe 2010, pp. 17–18; 285–286
  6. Lee 1999, p. 200
  7. Sands, Bonny E. (1998) 'The Linguistic Relationship between Hadza and Khoisan' In Schladt, Matthias (ed.) Language, Identity, and Conceptualization among the Khoisan (Quellen zur Khoisan-Forschung Vol. 15), Köln: Rüdiger Köppe, 265–283.
  8. Ndagala & Zengu 1994

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wahadzabe
Makala hii kuhusu utamaduni wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Wahadzabe kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.