Wilaya ya Nassian | |
![]() |
|
Nchi | ![]() |
---|---|
Jimbo | Zanzan |
Mkoa | Bounkani |
Serikali[1] | |
- Prefect | Koné Sounan Jacques |
Idadi ya wakazi (2014) | |
- Wakazi kwa ujumla | 44,528 |
GMT | (UTC+0) |
Wilaya ya Nassian (kwa Kifaransa: département de Nassian) ni moja kati ya Wilaya nne za Mkoa wa Bounkani ulioko Kaskazini mashariki mwa Cote d'Ivoire.
Mwaka 2014 idadi ya wakazi ilikuwa 44,528.
Makao makuu ya eneo hilo ni Nassian.
Wilaya ya Nassian sasa imegawanywa katika tarafa zifuatazo:
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Cote d'Ivoire bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Wilaya ya Nassian kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |