Wyclef Jean
Wyclef Jean akitumbuiza mnamo 2008
Wyclef Jean akitumbuiza mnamo 2008
Maelezo ya awali
Jina la kuzaliwa Neluset Wyclef Jean
Pia anajulikana kama Wyclef
Amezaliwa 17 Oktoba 1972 (1972-10-17) (umri 51)
Croix-des-Bouquets, Haiti
Asili yake Newark, New Jersey, United States
Aina ya muziki Hip hop, reggae, kompa, R&B, Muziki wa asili
Kazi yake Mwanamuziki, mwimbaji, mtunzi wa nyimbo, mtayarishaji, mwigizaji
Ala Sauti, gitaa, piano, ngoma
Miaka ya kazi 1987–hadi leo
Studio Ruffhouse, Columbia, J, Koch
Ame/Wameshirikiana na The Fugees
Tovuti www.wyclef.com

Nelust Wyclef Jean (amezaliwa tar. 17 Oktoba 1972) ni mwanamuziki, mwigizaji, mtayarishaji wa Kihaiti-Kiamerika. Pia anafahamika kwa kuwa kama mwanachama wa kundi la muziki wa hip hop la The Fugees.

Wasifu

[hariri | hariri chanzo]

Maisha ya awali (kwa ufupi)

[hariri | hariri chanzo]

Jean alizaliwa kama Nelust Wyclef Jean, mjini Croix-des-Bouquets, Haiti, alipewa jina la Wyclef Jean na baba yake mlezi, mchungaji aliyebadilisha jina lake baada ya kuitwa John Wycliffe[1]. Alihama yeye na familia yake na kuelekea zao mjini Brooklyn, New York akiwa na umri wa miaka tisa, na kisha baadaye kuelekea zao New Jersey.

Muziki

[hariri | hariri chanzo]
Makala kuu ya: Albamu za Wyclef Jean

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
  1. "Yéle.org". Ilihifadhiwa kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2009-04-04. Iliwekwa mnamo 2008-09-09.

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Wyclef Jean