Fonimu ni jina linalotumiwa katika elimu ya fonolojia kwa kutaja sauti bainifu za lugha fulani zilizo sehemu ndogo kabisa za maneno na kuunda tofauti za maana kati ya neno moja na jingine.[1]

Katika Kiswahili

Katika lugha ya Kiswahili tunaweza kutofautisha fonimu za aina tatu:

Wataalamu wanatofautiana juu ya idadi ya fonimu za Kiswahili kama ni kwa jumla 33 au 37. [2].

Fonimu huweza kubadili maana ya neno katika lugha husika.

Marejeo

  1. Concise Oxford English dictionary
  2. Susan Choge, Understanding Kiswahili Vowels, in The Journal of Pan African Studies, vol.2, no.8, Machi 2009, pp 62-77
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Fonimu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.