Mapembe kichwani mwa Musa alivyochongwa na Michelangelo ni kielelezo cha hekima.
Sanamu ya hekima katika Ugiriki wa kale kwenye Celsus Library huko Efeso, Uturuki.

Hekima ni hali bora ya mtu katika kutambua ukweli wa binadamu, vitu, matukio na mazingira mbalimbali hata kuchagua vizuri la kufanya.

Katika dini mbalimbali inatokana na imani kwa Mungu.

Katika Ukristo inatajwa pengine kati ya vipaji vya Roho Mtakatifu vinavyokamilisha maadili ya kiutu na maadili ya Kimungu vilevile.

Ndicho kipaji bora ambacho hutusaidia tupende na kufurahia mambo ya Mungu.

Marejeo

Viungo vya nje

Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
hekima
Wikiquote ina mkusanyiko wa dondoo kuhusu:
Hekima