Kiazi kikuu (Dioscorea spp.) | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mmea wa kiazi kikuu
| ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
|
Viazi vikuu au mitubwi (Kiing.: yam) ni mimea ya chakula iliyoainishwa katika familia Dioscoreaceae. Chakula ni sehemu nene za mizizi yake (kiazi) yenye wanga. Kiazi kikuu ni kubwa sana kuliko kiazi cha kizungu na hata kiazi kitamu. Mimea yake inapanda juu ya mimea au miti ingine na hupandwa mahali pengi pa Afrika, Asia, Amerika ya Kusini, Visiwa vya Karibi na Visiwa vya Pasifiki.