Lashkari Zaban ("lugha ya kambi ya jeshi" au "Lugha ya Hordish") katika hati ya Nastaliq

Kiurdu (pia hujulikana kama Lashkari imeandikwa لشکری[1]) ni aina ya lugha ya Kihindi iliyosanifiwa.

Ndiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).

Kwa kawaida kinaandikwa kwa herufi za Kiarabu kutokana na uhusiano wake na dini ya Uislamu.

Wanaokitumia kama lugha mama ni watu milioni 65.

Tanbihi

  1. Khadija Shakeel, Ghulam Rasool Tahir, Irsha Tehseen, Mubashir Ali, "A framework of Urdu topic modeling using latent dirichlet allocation (LDA)", Computing and Communication Workshop and Conference (CCWC) 2018 IEEE 8th Annual, pp. 117-123, 2018.

Marejeo

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Kiurdu
Wikipedia
Wikipedia
Kiurdu ni toleo la Wikipedia, kamusi elezo huru
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiurdu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.