Kiurdu (pia hujulikana kama Lashkari imeandikwa لشکری[1]) ni aina ya lugha ya Kihindi iliyosanifiwa.
Ndiyo lugha rasmi ya Pakistan na ya majimbo 6 ya India (katika nchi hiyo ni mojawapo kati ya 22 zinazokubaliwa na katiba).
Kwa kawaida kinaandikwa kwa herufi za Kiarabu kutokana na uhusiano wake na dini ya Uislamu.
Wanaokitumia kama lugha mama ni watu milioni 65.
((cite book))
: CS1 maint: date auto-translated (link)the University of Michigan((cite book))
: CS1 maint: date auto-translated (link)the University of Michigan((cite book))
: CS1 maint: date auto-translated (link)Oxford University((cite book))
: |volume=
has extra text (help)CS1 maint: date auto-translated (link)Oxford University((cite book))
: CS1 maint: date auto-translated (link)the New York Public Library((cite book))
: CS1 maint: date auto-translated (link)Oxford University((cite journal))
: Cite journal requires |journal=
(help); Invalid |ref=harv
(help)Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kiurdu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |