Picha mbalimbali.

Telangana ni jimbo la 29 la jamhuri ya India, likiwa limeundwa rasmi tarehe 2 Juni 2014 kwa kutengana na Andhra Pradesh.

Kwa sasa ni la 12 kwa eneo na kwa idadi ya watu: kilometa mraba 114,840 na wakazi 35,193,978 (sensa ya mwaka 2011).

Makao makuu ni Hyderabad.

Tanbihi

Marejeo

     .
     . https://archive.org/details/sim_journal-of-asian-studies_1971-05_30_3/page/569.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Telangana