Waziri Mkuu wa Tanzania ni msimamizi wa shughuli zote za serikali katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Anawakilisha serikali katika bunge la taifa. Yuko chini ya mamlaka ya rais.[1] Anateuliwa na rais akihitaji kuthebitishwa na wabunge wengi.[2]

Waziri Mkuu si kiongozi wa serikali lakini anaongoza vikao vya baraza la mawaziri wakati rais na makamu wa rais hawapo.[3]

Mwaziri Wakuu wa Tanzania (1964– sasa)

[hariri | hariri chanzo]
Vyama

      Tanganyika African National Union (TANU)
      Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Picha Name
(mwaka wa kuzaliwa - kufariki dunia)
Aliingia ofisini Alitoka ofisini Chama
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Cheo kilofutwa (26 Aprili 1964 – 29 Oktoba 1964
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Cheo kilofutwa (29 Oktoba 1964 – 17 Februari 1972)
Rashidi Kawawa
(1926–2009)
17 Februari 1972 5 Februari 1977 TANU
(1) 5 Februari 1977 13 Februari 1977 CCM
2 Edward Sokoine
(1938–1984)
(1st time)
13 Februari 1977 7 Novemba 1980 CCM
3 Cleopa Msuya
(1931–)
(1st time)
7 Novemba 1980 24 Februari 1983 CCM
(2) Edward Sokoine
(1938–1984)
(2nd time)
24 Februari 1983 12 Aprili 1984[4] CCM
4 Salim Ahmed Salim
(1942–)
24 Aprili 1984 5 Novemba 1985 CCM
5 Joseph Warioba
(1940–)
5 Novemba 1985 9 Novemba 1990 CCM
6 John Malecela
(1934–)
9 Novemba 1990 7 Desemba 1994 CCM
(3) Cleopa Msuya
(1931–)
(2nd time)
7 Desemba 1994 28 Novemba 1995 CCM
7 Faili:Frederick SuMeie boston Desemba 2006.png Frederick SuMeie
(1950–)
28 Novemba 1995 30 Desemba 2005 CCM
8 Edward Lowassa
(1953–)
30 Desemba 2005 7 Februari 2008 CCM
9 Mizengo Pinda
(1948–)
9 Februari 2008 20 Novemba 2015 CCM
10 Kassim Majaliwa
(1960–)
20 Novemba 2015 mwenye majukumu CCM

Marejeo

[hariri | hariri chanzo]
  1. Katiba ya Tanzania, fungu 52: ana "ana madaraka juu ya udhibiti, usimamiaji, utekelezaji wa siku hata siku wa kazi na shughuli za serikali; ...atakuwa Kiongozi wa Shughuli za Serikali Bungeni; ...atatekeleza au kusababisha utekelezaji wa jambo lolote au mambo yoyote ambayo Rais ataagiza "
  2. Katiba ya Tanzania, fungu 51 ""Kutakuwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano atakayeteuliwa na Rais; ...uteuzi wake uwe umethibitishwa na Bunge kwa azimio litakaloungwa mkono na kura za Wabunge walio wengi."
  3. Katiba fungu 54,2
  4. Died in office.

See also

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya Nje

[hariri | hariri chanzo]