Uenezi wa lugha za Kikushi leo (katika rangi ya kahawia iliyokolea).
Lugha za Kiafrika-Kiasia mnamo 500 KK[1]

Lugha za Kikushi ni kati ya lugha za Kiafrika-Kiasia. Zinatumika hasa katika Pembe la Afrika na nchi za jirani, kuanzia Misri na Sudan hadi Kenya na Tanzania, lakini zamani zilitumika katika maeneo makubwa kuliko leo.

Jina linatokana na Kush, mtu wa Biblia anayetajwa kama babu wa makabila ya aina hiyo.

Leo lugha kubwa zaidi katika kundi hilo ni Kioromo (35,000,000), kikifuatwa na Kisomali (18,000,000). Baadhi yake zimeshakufa.

Tanbihi

  1. Miller C, Doss M (1996-12-31). "Nubien, berbère et beja: notes sur trois langues vernaculaires non arabes de l'Égypte contemporaine" [Nubian, Berber and beja: notes on three non-Arabic vernacular languages of contemporary Egypt]. Égypte/Monde Arabe (kwa French) (27–28): 411–431. ISSN 1110-5097. doi:10.4000/ema.1960.  Unknown parameter |doi-access= ignored (help)

Marejeo

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Lugha za Kikushi kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.