Maeneo bunge ya Kenya yanatumika kuchagua wajumbe wa bunge la Kenya. Kuna maeneo bunge 290 nchini Kenya.

Kenya ina mfumo wa kupiga kura wa mshindi-mmoja, kumaanisha kila eneo bunge linachagua mbunge mmoja tu.

Maeneo bunge yamegawanywa zaidi katika kata, zinazotumika kuchagua madiwani kwa serikali za mitaa.

Wabunge na madiwani wanachaguliwa wakati wa uchaguzi mkuu unaofanyika kila baada ya miaka mitano. Uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2007 ulisababisha mgogoro mkubwa.

Baada ya hapo ilitungwa katiba mpya ya mwaka 2010.

Maeneo bunge kaunti kwa kaunti

Kaunti ya Baringo

Kaunti ya Bomet

Kaunti ya Bungoma

Kaunti ya Busia

Kaunti ya Elgeyo-Marakwet

Kaunti ya Embu

Kaunti ya Garissa

Kaunti ya Homa Bay

Kaunti ya Isiolo

Kaunti ya Kajiado

Kaunti ya Kakamega

Kaunti ya Kericho

Kaunti ya Kiambu

Kaunti ya Kilifi

Kaunti ya Kirinyaga

Kaunti ya Kisii

Kaunti ya Kisumu

Kaunti ya Kitui

Kaunti ya Kwale

Kaunti ya Laikipia

Kaunti ya Lamu

Kaunti ya Machakos

Kaunti ya Makueni

Kaunti ya Mandera

Kaunti ya Marsabit

Kaunti ya Meru

Kaunti ya Migori

Kaunti ya Mombasa

Kaunti ya Murang'a

Kaunti ya Nairobi

Kaunti ya Nakuru

Kaunti ya Nandi

Kaunti ya Narok

Kaunti ya Nyamira

Kaunti ya Nyandarua

Kaunti ya Nyeri

Kaunti ya Samburu

Kaunti ya Siaya

Kaunti ya Taita-Taveta

Kaunti ya Tana River

Kaunti ya Tharaka-Nithi

Kaunti ya Trans-Nzoia

Kaunti ya Turkana

Kaunti ya Uasin Gishu

Kaunti ya Vihiga

Kaunti ya Wajir

Kaunti ya West Pokot

Viungo vya nje