Kaunti ya Kisii ni mojawapo ya kaunti za Kenya zilizopo baada ya katiba mpya ya Jamhuri ya Kenya kupatikana mwaka 2010.
Wakati wa sensa ya mwaka 2019 wakazi walikuwa 1,266,860 katika eneo la km2 1,323, msongamano ukiwa hivyo wa watu 958 kwa kilometa mraba[1].
Makao makuu yako Kisii.
Kaunti ya Kisii ina maeneo bunge yafuatayo[2]:
Wakazi wengi wa kaunti hii wanategemea kilimo kwa chakula na mapato ya kifedha. Baadhi ya mimea inayokuzwa ni mahindi, ndizi na chai.[4].
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kaunti ya Kisii kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |