Kabarnet | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Baringo |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 27,278 |
Kabarnet ni mji wa magharibi mwa Kenya, kaunti ya Baringo, katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki.
Mji upo mita 1,815 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Una wakazi 27,278 (2009).
Kabarnet ni kata ya eneo bunge la Baringo ya Kati[1].
![]() | Makala hii kuhusu maeneo ya Kenya bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Kabarnet kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |