Kutus ni mji wa Kenya katika kaunti ya Kirinyaga[1].

Umeunganika na mji wa Kerugoya; kwa pamoja ilikuwa na wakazi 34,014 wakati wa sensa ya mwaka 2009[2].

Tazama pia

Tanbihi

  1. https://www.knbs.or.ke/?wpdmpro=2019-kenya-population-and-housing-census-volume-ii-distribution-of-population-by-administrative-units
  2. Sensa ya Kenya 2009 Archived 9 Januari 2019 at the Wayback Machine., tovuti ya KNBS, ilitazamwa Januari 2009.