Umoja wa Mataifa ulikubaliwa baada ya Vita Vikuu vya Pili vya Dunia kutoa katiba ya sheria ya kimataifa ya umma.

Sheria ya kimataifa inaweza kuashiria mambo matatu: sheria ya umma ya kimataifa, sheria ya kibinafsi ya kimataifa au mgongano wa sheria na sheria ya mashirika makubwa ya kimataifa, kama vile sheria ya Umoja wa Ulaya.

Sheria ya kimataifa ya umma ina hadhi maalumu kama sheria kwa sababu hakuna kikosi cha kimataifa cha polisi, na mahakama (kama vile Mahakama ya Kimataifa ya Haki kama tawi la msingi la Umoja wa Mataifa la mahakama) halina uwezo wa kuadhibu wasiotii.[2] Hata hivyo, miundo michache, kama vile WTO, ina mifumo yenye ufanisi ya utatuzi wa kudumu wa migogoro inayoambatana na vikwazo vya kibiashara.[3]

Tanbihi

  1. History of the UN, United Nations. Winston Churchill (The Hinge of Fate, 719) comments on the League of Nations' failure: "It was wrong to say that the League failed. It was rather the member states who had failed the League."
  2. The prevailing manner of enforcing international law is still essentially "self help"; that is the reaction by states to alleged breaches of international obligations by other states (Robertson, Crimes against Humanity, 90; Schermers-Blokker, International Institutional Law, 900–901).
  3. Petersmann, The GATT/WTO Dispute Settlement System, 32
  4. Redfem, International Commercial Arbitration, 68–69
  5. Schermers–Blokker, International Institutional Law, 943
  6. See the C-26/62 Van Gend en Loos v Nederlanse Administratie Der Belastingen, and Flaminio Costa v E.N.E.L. decisions of the European Court.
Makala hii kuhusu mambo ya sheria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Sheria ya kimataifa kama historia yake au uhusiano wake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.