Mt. Visini katika mozaiki mbele ya kanisa kuu la Sarsina.

Visini (kwa Kilatini: Vicinius; karne ya 3 - 330) alikuwa askofu wa kwanza wa Sarsina, Italia [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Agosti[2].

Tazama pia

Tanbihi

  1. http://www.santiebeati.it/dettaglio/91610
  2. Martyrologium Romanum

Vyanzo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.