Wafumbira (kwa Kifumbira au Rufumbira: Bafumbira (umoja: Mufumbira)) ni kabila la kusini magharibi mwa Uganda (wilaya ya Kisoro).
Zamani walikuwa chini ya Rwanda, na mpaka leo lugha yao inafanana na Kinyarwanda[1][2].
Leo wengi wao ni Wakristo.
![]() |
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wafumbira kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |