Eneo la Galatia katika rasi ya Anatolia wakati wa Dola la Roma.

Galatia ni jina la mkoa wa zamani katikati ya nchi inayoitwa leo Uturuki.

Galatia ilipata jina hilo baada ya kuvamiwa na kukaliwa na kabila la Wagali kutoka Ufaransa kupitia Bulgaria ya leo katika karne ya 3 KK.

Mji mkuu wake ulikuwa Ancyra (leo Ankara, mji mkuu wa Uturuki).

Tanbihi

Marejeo

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Galatia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.