Riccardo, salam. Nd. Riccardo, ile makala ya Fransisko wa Asizi, umeandika safi sana na inaeleweka. Lakini je vipi kuhusu mwaka aliozaliwa huyu bwana unaujua? Natumai utakuwa umeitafsiri kutoka wiki zingine ama sivyo? Natumai ndivyo!! Basi kama utaweza kuandika mwanzo kabisa mwaka aliozaliwa itakuwa bora zaidi. Labada nikupe mfano mdogo: Fransisko wa Asizi (tarehe na mwaka aliozaliwa) alikuwa mtakatifu kutoka nchini Italia. Asizi alizaliwa katika mkoa wa Umbria, wilaya ya Perugia, Italia.... Kisha unaweka kama ndugu na mambo mengine!! Haya basi kama hujaelewa labda umwulize Kipala atakupa habari zaidi!! Kingine usisahau kuweka InterWiki katika makala yako kama ipo katika wiki zingine-[[it:Fransisko of Asizi]] (sijui kwa lugha ya Kitaliano wanahitaje) lakini inategemea na lugha vyovyote vile inaswihi. Kingine kuweka vichwa katika makala, hili nenda kaangalie makala yako utaona nimefanya vipi mpaka kimekuja kichwa cha habari-Fransisko wa Asizi. Sina mengi na nakutakia kheri ya mwaka mpya na furaha tele moyoni!!--Mwanaharakati 05:08, 7 Januari 2008 (UTC)
Kuna kitu nimesahau kukueleza. Kuweka jamii au category katika makala, mfano: [[Category:Watakatifu wa Italia]] au [[Category:Watakatifu]] na nyingine ya mwaka aliozaliwa -unaweka mabano kama hayo kisha unaadika (Waliozaliwa 19 na...) kama kafa unaandika Waliofariki (mwaka aliokufa). Natumai utakuwa umeelewa!!--Mwanaharakati 05:20, 7 Januari 2008 (UTC)
Salam. Ukiwa bado humchanga katika wiki hii, ni vyema ku-login kabla ya kuumba makala!!! Nimeona baadhi ya makala umeandika bila ku-login, kisha nikafikiri ni Kipala aliyefanya hiyo hivyo, kwani yeye ndiye huwa na kawaida hiyo!! Basi endelea na kazi yako Ndugu, wako katika ujenzi wa Wikipedia,--"Mwanaharakati" (talk) 12:19, 28 Februari 2008 (UTC)
Salaam! Kuna mapendekezo kuhusiana na muundo wa makala na vichwa vyake. Naomba angalia hapa kwa maelezo zaidi....--"Mwanaharakati" (talk) 12:43, 11 Machi 2008 (UTC)
==Hapa unaweka maelezo husika na kichwa cha habari hiki==
Hapa chini yake unaaza kuelezea vile habari kama kilivyo kichwa chake cha habari.
Naomba angalia makala hii :Maangamizi makuu dhidi ya Wayahudi wa Ulaya na vichwa vyake vya habari, labda utapata mwelekeo mzuri zaidi. Ukiwa unaona bado huja elewa basi nijulishe au mwulize mkabidhi yoyote atakupa maelekezo zaidi! Kila lakheri....--Mwanaharakati (majadiliano) 04:18, 25 Machi 2008 (UTC)
Salam. Ndugu Riccardo, hamna uwezekano wa kupata viungo vya nje katika makala unazo-changia? Maana naona makala nyingi umeandika bila ya viungo vya nje, wakati ukiziangalia katika Wikipedia zingine unazikuta wamewekea viungo vya nje. Je vipi utafanya ili uweze kuweka hata viungo vya nje katika baadhi ya makala utakazo changia-zenye kuhitaji viungo vya nje?--Mwanaharakati (majadiliano) 11:57, 27 Machi 2008 (UTC)
Salaamu Ricardo,nafurahi sana kuona kazi yako. Nina neno kuhusu ualimu naomba utazame ukurasa wa majadiliano huko. ̰-Kipala (majadiliano) 19:12, 27 Machi 2008 (UTC)
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 7,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu saba. Naona kama naota kufikia kiwango hicho, ingawaje si nyingi hivyo lakini tumefika!. Basi tuendelee kushauriana na kuvumiliana!--Mwanaharakati (majadiliano) 07:32, 21 Aprili 2008 (UTC)
Ricardo, niliandika hapa kitu juu ya umbo la makala lakini nimeifuta tena kwa sababu sijaona ya kwamba umeshabadilisha mwenyewe. --Kipala (majadiliano) 11:19, 14 Mei 2008 (UTC)
Riccardo salaam, nimeona umechapa kazi kan bisa kuhusu vitabu vya Biblia. Ombi langu ni: tujaribu kushikamana pamoja. Labda umeona ya kwamba hata Oliver na mimi tumeshaanza makala kadhaa juu ya vitabu vya Biblia lakini sijandelea kwa muda mrefu. Hapa naona kuna mamabo mawili yanaofaa tukumbuke: tupatane juu ya majina na jamii.
kwa sababu hapa kuna orodha na tukiunda makala kwa jina tofauti orodha hizi si msaada tena. Au tunafanya kazi mara mbili, linganisha Kumbukumbu la Sheria (Biblia) na Kumbukumbu la Sheria. Kumbe makala imeshakupatikana tayari. Basi sasa tuunganishe. Halafu ona jinsi nilivyofanya kwa Ruth: wewe uliandika Kitabu cha Ruth halafu nikaweka kiungo cha #REDIRECT kutoka orodha inapoandikwa kw< umbo la "Ruthu". Unaonaje? --Kipala (majadiliano) 14:43, 2 Juni 2008 (UTC)
ujumbe, huwa hakuna jina lako linalotokea katika ukurasa wa majadiliano wa mtu uliyemwachia ujumbe. Fanya hivi: --~~~~ kisha yenyewe itaandika jina lako, muda, tarehe n.k. Kazi njema na kila lakheri! Wako katika ujenzi wa Wikipedoia hii ya Kiswahili,--Mwanaharakati (majadiliano) 10:56, 3 Juni 2008 (UTC)
Salam, Riccardo. Kuna kitu nimeona wakati wa kumaliza kuandika, jina lako linatoka bila kiungo. Hapa naona mambo mawili: Huenda akawa umeilemaza ile sehemu ya kuweka automatic link(angalia "mapendekezo yangu - raw signature"). Pia inawezekana ukawa unakosea namna ya kujisajilisha ili uweze kupatikana katika viungo hivi vya wiki. Angalia mfano huu tena kwa njia ya picha kisha uwe unafanya hivyo:
Samahani lakini kama nitakuwa na kukera katika kukumbushia namna ya kijisajili. Kazi njema na natumai utakuwa umeelewa! Endapo ukiwa bado, basi nijulishe...--Mwanaharakati (majadiliano) 13:07, 12 Juni 2008 (UTC)
Salaam Riccardo umefanya kazi kubwa ya kutunga makala mengi juu ya vichwa vyenye maana. Nashukuru. Lakini naona tatizo juu ya makala kadhaa kulinganana na masharti ya kamusi elezo. Kwa upande mmoja makala kuhusu maazimio ya mtaguso wa pili wa Vatikani hayafuati muundo wa makala. Maana yake mwanmzoni hazielezi waziwazi neno hili ni nini bali zinaanza na maelezo juu ya nia au mawazo ya Mtaguso. Hii haisaidii kueleweka vema. Halafu kuna jambo la pili nimeona mara nyingi namna ya mahubiri inayochanganywa na habari. Hii si mtindo wa kamusi elezo. Labda kama ukiandika kwa ajili ya homepage ya kanisa lako ingekuwa sawa. Lakini hapa tunahitaji maelezo yaliyo wazi kwa mtu yeyote. Kama Waislamu, Wakristo wa madhehebu mengine na watu wanaokanusha dini wanafanya hivihivi wikipedia yetu haieleweki tena. Naona haja kuleta masahihisho hapa. Ningeomba usinedelee kuandika makala kwa muundo huohuo bali tujitahidi pamoja kuleta mpanglio unaofaa. Napenda kurudia ya kwamba naona makala yote yanahusu mada muhimu lakini hatuna budi kusaidiana kutunza kiwango cha ubora fulani.--Kipala (majadiliano) 17:09, 15 Juni 2008 (UTC)
Ricccardo, asante kwa kunikumbusha. Samahani lakini sina uhakika unalenga nini yaani makala gani. Pale nilipoangalia nakuta vitabu vipo bila shaka unamaanisha sehemu nyingine ambako sioni. Naomba fanya hivi: weka kiungo (link) pale unapoandika kwenye ukurasa wangu ili nifike palepale. Mfano: Agano la Kale kuna vitabu vyote unavyotaja. Je wewe unalemha nini hasa? (halafu: Kuanzia kesho kutwa sitakuwepo kwa wiki 4 - naomba uvumilivu wako). --Kipala (majadiliano) 22:30, 16 Julai 2008 (UTC)
Hi! How are you? Could you please help me add a couple of sentences to the Kiswahili version of this interesting article?
Thanks so much! -Ivana Icana (majadiliano) 22:30, 6 Septemba 2008 (UTC)
Could you please send me the artical Sen2006 (majadiliano) 10:38, 15 Oktoba 2018 (UTC)
Riccardo, salam. Eti, umefikia wakati wa wewe kujiwekea viwango vya lugha uzifahamuzo katika ukurasa wako wa mtumiaji! Hapa kuna orodha chache ya mifano hai yenye kuonyesha lugha unazozijua. Angalia hizi:
Haya, katika kila kodi ya lugha, kwa mfano: sw-2 au 3, ni kiwango cha lugha unachokifahamu. Ikiwa en-2, 3, 4, ni namna ya kutaja vyema uwezo wa ujua wako wa lugha! Ukiona unajua zaidi ya namba 1,2,3 basi ongeza hadi nne katika kila kodi ya lugha, halafu ukimaliza kopi hayo mabano yote kisha nenda ka-paste katika ukurasa wako wa mtumiaji! Chukua hizi:
((Babel|it|sw-3|en-3|es-3|fr-2|la-1))
Karibu sana!--Mwanaharakati (Longa) 05:54, 13 Oktoba 2008 (UTC)
Riccardo Riccioni, salam. Namna ya kuweka picha ni rahisi sana ndugu yangu! Hebu fuata taratibu hizi kisha tuone kama tutafaulu katika kuelekezana huku. Andika:
[[Image:Jina la picha.jpg, .png, .svg, .gif n.k.|thumb|hapa weka kulia au kushoto (kwa Kiingereza)|ukubwa wa picha=250px n.k.|Maelezo ya picha, kisha]]
Kingine: Ukitaka kutumia formula hiyo, tafadhali usi kopi na hayo maandishi yaliyoandikwa. Chukua maelezo matupu bila ya nowiki! Haya, tazama picha jinsi inavyokuja kwa hapa: [[Image:Flag of Italy.png|thumb|left|15px|Bendera ya Italia]]. Ukiona bado hujaelewa, basi nijulishe nitakuelekeza zaidi!--Mwanaharakati (Longa) 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo Riccioni popote ulipo! Naomba kama utapata muda wa kuweza kutafsiri makala ya Holy See kutoka lugha ya Kiingereza au Kitaliano kama utapenda! Nataka kujua kuhusiana na hiyo Holy See, yaani uandike makala ya Holy See katika Wikipedia hii, ikiwezekana kwa Kiswahili itakuwa bora zaidi ama unaonaje?--Mwanaharakati (Longa) 13:21, 10 Novemba 2008 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam! Nakushukuru kwa jumbe zako kadhaa za siku zilizopita, na sina budi kukuomba radhi kwa kimya yangu. Upande wa Carl Hinton, nitaendelea kuangalia sehemu ambazo amenakilisha tu kutoka katika "Biblia Inasema". Nimesafiri bila nakala yangu ya kitabu hicho kwa hiyo itanichukua muda kadhaa kabla sijaweza kuendelea na kazi hii ya ufutaji tena. Upande wa kichwa cha makala mbalimbali, mimi sioni shida, hasa kwa vile makala za zamani zitarejea zile za kisasa. Ila kuhusu "vita" nakubaliana na Ndugu Muddyb kwamba neno hili liendelee katika ngeli ya nomino ya 9 (yaani kihusishi chake kiwe "ya", siyo "vya"). Nyakati hubadilika. Kwa vyovyote turejee moja kwa nyingine. Basi, nakushukuru kwa kazi yako inayonifurahisha sana (mbona umehangaika ingewezekana kunichukiza? Haikufanya hivyo hata kidogo!). Na kazi njema! Baba Tabita (majadiliano) 14:27, 10 Novemba 2008 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam. Naomba uangalie maoni kwenye ukurasa wa majadiliano ya Talk:Mtaguso Mkuu na pia makala ya Mitaguso_ya_kiekumene. Ningefurahi tukiweza kushirikiana katika jambo hili. --Kipala (majadiliano) 08:51, 18 Novemba 2008 (UTC)
Salam nyingi zikufikie Nd. Riccardo! Ninapenda kukupa hongera kwa kusukuma wiki yetu juu ya kiwango cha makala 8,000! Nafurahia kuona tumefikia makala elfu nane. Nikikumbuka vile ulivochangia kwa hali na mali ili walau nasisi Waswahili tufikie elfu kadhaa, Naona sasa tumesogea! Shukrani za dhati zikufikie na tuendelee kushauriana na kuvumiliana--Mwanaharakati (Longa) 14:31, 19 Desemba 2008 (UTC)
Riccardo, salam! Kuna mabadiliko katika baadhi ya viungo vyetu! Sasa hivi kuna baadhi ya viungo vyetu vinatumika kwa Kiswahili. Kwa mfano CATEGORY hii sasa hivi ipo kama JAMII au picha, zamani ilikuwa Image:jina la picha. hiyo na hiyo. Lakini sasa ni Picha: halafu jina.... Ila zote zinafanya kazi, yaani kwa Kiswahili na Kiingereza! Lakini bora zaidi tukitumia kwa lugha yetu, au wewe unaonaje?--Mwanaharakati (Longa) 09:04, 24 Desemba 2008 (UTC)
Hongera na asante kwa masahihisho ya maana! Nakiri nina udhaifu wa kupitia tena hasa nikiandika usiku manane wakati mwingine sioni makosa (tahajia, muundo wa sentensi). Basi tuendelee kusaidiana. Kitu kidogo: nashauri usitumie "jamii" badala ya "category". Najua inatakiwa kuwa sawa lakini bado kuna mdudu ndani yake --Kipala (majadiliano) 22:11, 29 Desemba 2008 (UTC)
Ndugu Riccardo. Hongera kwa kazi njema! Miezi miwili iliyopita, ndugu wetu Kipala aliuliza kuhusu hatimiliki ya makala ya Historia ya Wokovu. Nadhani ni wewe uliyeandika makala hiyo kwa sehemu kubwa kabisa. Ikiwa umenakilisha kutoka kitabu fulani na kuvunja hatimiliki, naomba urekebishe na kufupisha makala. Hata hivyo imekuwa ndefu mno kwa ajili ya kamusi elezo. Tukazane kusaidiana na kazi njema. Umesalimiwa na Baba Tabita (majadiliano) 16:22, 23 Januari 2009 (UTC)
Ndugu, usiwe na wasiwasi: mwandishi wa makala hiyo ni mimi mwenyewe tu. Ni kweli kwamba ni ndefu, lakini historia ya binadamu ni ndefu zaidi... ni vigumu kusimulia miaka elfu kwa nusu saa! --196.45.46.171 06:41, 25 Januari 2009 (UTC)
Riccardo, salam. Ni siku 43 nyuma, yaani, 19 Desemba 2008 hadi tar. 2 Februari 2009 - 9,000. Leo tuna makala 9,000. Inazidi kuifanya Wikipedia yetu kuwa vilevile ya pili kama jinsi ilivyozoeleka! Sina maneno mengi, ila ni kukutakia furaha ya kufika hapa tulipo! Pia, maisha mema na kazi kwa ujumla. Kila la kheri. --Mwanaharakati (Longa) 16:25, 2 Februari 2009 (UTC)
Mpendwa, bado kidogo kufikia 10,000 na kupanda chati katika wiki za lugha nyingine... Bahati mbaya, sina muda mwingi kukuungia mkono katika harakati zako. Halafu siku hizi napoteza muda kuboresha makala zilizopo kuliko kuanzisha mpya. Asante! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 13:45, 4 Februari 2009 (UTC)
Riccardo Riccioni, salaaaaam! Wikipedia yetu imefikisha makala 11,000! Ni furaha iliyoje? Basi tu, niseme tujitahidi kuendeleza na kushauriana kwa kila jambo litakalosaidia Wikipedia yetu kuwa juu! Kila la kheri.--Mwanaharakati (Longa) 15:51, 9 Aprili 2009 (UTC)
![]() |
Hongera: Umepewa Tuzo ya Barnstar!
Kwa juhudi ya kazi zako hapa katika Wikipedia ya Kiswahili!--Mwanaharakati (Longa) 14:37, 27 Aprili 2009 (UTC) |
Riccardo Riccioni, salam! Kuna tatizo nimeliona, kaka. Ukianzisha JAMII, unatakiwa pia uweke JAMII za chini. Kwa mfano: JAMII ya JUU
JAMII ya CHINI
Kifupi hakuna jamii bila mwenziwe. Na ikiwa hakuna uwezekano wa kupata mwenziwake, ni afadhali zisiumbwe! Bimaana, JAMII YA WANAMUZIKI WA TANZANIA, ipo chini ya WATU WA TANZANIA. Natumai ya kwamba utakuwa umenielewa namna jinsi nilivyoeleza. Kazi njema.--Mwanaharakati (Longa) 05:07, 4 Mei 2009 (UTC)
Nimemteua Mwanaharakati achaguliwe kuwa msimamizi mkuu pamoja nasi (b'crat). Naomba upige kura kwenye ukurasa wa wakabidhi. Asante! --Baba Tabita (majadiliano) 07:17, 28 Mei 2009 (UTC)
Nimemteua Flowerparty achaguliwe kuwa mkabidhi pamoja nasi. Naomba upige kura kwenye ukurasa wa Wakabidhi. Ahsante! --Mwanaharakati (Longa) 10:34, 9 Julai 2009 (UTC)
Riccardo, salam! Hongera kwa kusukuma Wikipedia yetu na kufikisha makala zaidi ya 12,000! Ninatumainia kuona michango yako mengine kibao kuliko hiyo uliyoifanya hapo awali!. Siku takii lolote lile, isikuwa kheri ya maisha. Wako kijana mtiifu, MuddybA.K.A.--Mwanaharakati (Longa) 13:02, 25 Julai 2009 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam! Narudi sasa hivi kutoka kwako nyumbani (ziara ad limina apostolorum..) naona swali lako kwenye ukurasa wa Muddy kuhusu picha. Kila picha iliyopo kwenye commons inaonekana ukibadilisha tu "immagine" kuwa ""picha" kwenye jina lake. Majina ya Kiingereza hupokelewa vile bila mabadiliko kama picha iko kwenye commons. Lakini picha nyingi ziko tu kwenye wikipedia ya lugha fulani. Hapa kua njia ifuatayo: a) unanakili picha kwa kompyuta yako (je hii unajua? rightclick - save image as - halafu uiweke mahali unapojua kwa mfano desktop) b) katika sw.wikipedia unapakia picha: bofya "pakia faili" kwenye orodha upande wa kushoto-chini, fuata maelezo kwenye fomu c) nashauri kufuta picha baadaye kwenye mashine yako kusudi usijaze nafasi iliyopo mno.
Wasalaam --Kipala (majadiliano) 09:30, 28 Julai 2009 (UTC)
Riccardo, salaam! Si umeona kwamba tumekuwa wa kwanza katika Afrika - na taarifa hizo ulinieleza hapo juzi. Leo hii tumefikia 13,000!!! Basi hongera na tuendelee kushauriana!-- MwanaharakatiLonga 08:03, 18 Agosti 2009 (UTC)
Bila samahani. Machoni mwangu, 'Defaultsort' maana yake ni kuorodhesha kufuatana na alfabeti. Kwa hiyo naona, mtakatifu ambaye hana jina la familia, aorodheshwe chini ya jina lake la kwanza na siyo chini ya jina lake la mahali wala la baba. Tunaweza kuongeza ubini ila tusiuweke kwanza katika 'Defaultsort'. Au unasemaje? Kila la kheri, --Baba Tabita (majadiliano) 10:56, 3 Septemba 2009 (UTC)
Riccardo, salaam! Husika na kichwa cha habari hapo juu ni sanduku la kujumlishia habari za Watakatifu kama jinsi wanavyoweka katika Wikipedia zingine. Dhumuni la kuandika ujumbe huu ni kukutaka utoe msaada wako wa kutfasiri baadhi ya maeno yaliyomo kwenye kigezo hicho. Binafsi najua kuandika kaziliwa wapi/kufa na kadhalika. Mengine kama "feast" (ndani yake kuna maneno kama "calender of saints"). Si kazi kubwa saana. Lakini ningependa tufanye pamoja kwa sababu kazi hii inakuhusu sana wewe. Ni katika kutaka kuboresha makala zako zaidi, kaka yangu. Ukiwa tayari, basi nijulishe! Unaonaje?-- MwanaharakatiLonga 09:52, 5 Septemba 2009 (UTC)
Riccardo, salaaaam! Ninapenda kukutaarifu kwamba Wikipedia yetu imefikisha zaidi ya makala 14,000! Ni matumaini yangu kwamba tutafika elfu 15,000? Mmmh, ni safari ndefu! Labda tu nitoe pongezi zako kwa kuendeleza zaidi makala za dini na jamii? Haikuwa kazi rahisi, lakini uliweza! Basi hongera kwa kuliwezesha na kila la kheri katika maisha! Ni mimi mdogo wako mtiifu.-- MwanaharakatiLonga 14:47, 11 Septemba 2009 (UTC)
Bwana Riccardo, salaam!
Nimepata mawasiliano kutoka Christine Moon huko Palo Alto, California. Yeye anafanya kazi kwa shirika la Google, nao wameanza kupanga mradi au huduma kwa ajili ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Tanzania na Kenya ili waelimishwe kuandika makala kwa wikipedia ya Kiswahili. Kumbe!
Christine sasa ametualika kumwandikia maoni yetu, angalia tovuti hiyo:
http://docs.google.com/Doc?docid=0AbIPJ9Nv6udZZGd6MndwcGdfMzFkODNzOG0zYw&hl=en
Bahati mbaya yeye haelewi Kiswahili, kwa hiyo itakuwa lazima kumwandikia kwa Kiingereza. Ukihitaji msaada wangu upande wa kumwandikia, karibu unijulishe. Asante kwa michango yako!
Ni wako katika ujenzi wa lugha yetu,
--Baba Tabita (majadiliano) 07:57, 10 Oktoba 2009 (UTC)
Riccardo, salam. Kwanza nitoe shukrani zangu nyingi za dhati kwa msaada wako juu ya masawazisho ya makala zenye athira ya kidini. Nimeona maranyingi ukisawazisha (na hata kupanua makala hizo). Leo hii, nimeonelea angalao uandike makala moja au mbili za katika hicho kichwa husika hapo juu - kwa sababu niliona umeiweka sawa kwa kiasi kikubwa. Je, ungeweza angalao kuandika kitu kama labda: Kanisa la Kifalme la Armenia au lile la Katoliki? Yaani, dhumuni la kusema hivi ni kwa sababu kile kiungo au ile maana ya kutofautisha makala zile bila hata kuwepo ni sawasawa na bure! Nitakuwa mwenyekushukuru iwapo utanisaidia kwa hili. Zile makala zingekuwa za kawaida, kwa mfano muziki au filamu, basi ningeendelea mwenyewe. Lakini masuala ya kidini, aah, sijui kitu kwa kweli. Ni hayo tu. Wako,-- MwanaharakatiLonga 10:55, 13 Oktoba 2009 (UTC)
Bwana Riccardo, salaam! Nimeanzisha majadiliano mapya kuhusu utafsiri wa istilahi ya wikipedia yetu hapa. Naomba uyaangalie na kuchangia maoni yako. Asante! --Baba Tabita (majadiliano) 09:54, 23 Oktoba 2009 (UTC)
Salam, Riccardo. Unaombwa upige kura katika ukurasa wa wakabidhi wa Wikipedia. Mmoja kati ya wachangiaji wenzetu (Mr Accountable) amejiteua kuwa mkabidhi! Ili kumpgia kura, tafadhali fungua hapa. Ahsante sana.-- MwanaharakatiLonga 18:39, 28 Novemba 2009 (UTC)
Salam, Riccardo! Ahsante kwa masahihisho na ongezeko lako la kwenye makala ya Baptisti. Kwa kweli makala imekaa vyema kabisa. Tatizo langu lipo palepale - sijui mengi kuhusu dini. Ikiwa tunapata msaada kama huo, basi mambo yatakuwa mazuri.--MwanaharakatiLonga 16:33, 5 Machi 2010 (UTC)
Hello.
Can you translate and upload the articles en:Azerbaijan Soviet Socialist Republic and en:Azerbaijan Democratic Republic in Swahili Wikipedia?
Yours sincerely, Karalainza (majadiliano) 15:50, 29 Mei 2020 (UTC)
Salam, Riccardo! Unaweza kunieleza au hata kuandika makala kuhusu kichwa cha bari hapo juu? Ningependa kujua ni dhehebu la namna gani. Wako katika ujenzi wa Wikipedia yetu,--MwanaharakatiLonga 06:54, 19 Machi 2010 (UTC)
Salam, Riccardo Riccioni! Hongera ya makala 18,000! Kumbe tumefika - japokuwa kuna mengi ya kusahihisha na kufuta pia. Lakini si mbaya tukipongezana! Tuendeleeni jamani.--MwanaharakatiLonga 09:13, 31 Mei 2010 (UTC)
Naona kama makala hii inataka kujadili habari za "Wafiadini wa Uganda" ipanushwe kidogo kulingana na pande zote zilizohusika yaani Wakatoliki na Waanglikana. Sasa inaonekana kama habari ya upande mmoja tu inayotaja upande mwingine kandokando. Sawa nikiongeza? Kipala (majadiliano) 11:06, 13 Juni 2010 (UTC)
Nadhani labda wewe umepata pia maswali yale ya Rachel - hapa majibu yangu: Mtumiaji:Kipala/questionnaire - Kipala (majadiliano) 19:08, 30 Juni 2010 (UTC)
Karibu kutembelea ukurasa wa wakabidhi na kuamua juu ya wenzetu waliopewa haki za wakabidhi lakini hawakuonekana tangu miezi mingi: Wikipedia:Wakabidhi#Kura_ya_kuondoa_wakabidhi_waliopotea. Tuliwahi kujadili swali hili mwaka uliopita (tazama kwenye ukurasa unaotajwa, juu ya pendekezo) ; sasa njia imeonekana. Kipala (majadiliano) 05:27, 1 Oktoba 2010 (UTC)
Riccardo, salaam, nafurahia jinsi unavyochungulia makala nilipoandika na kuboresha Kiswahili na tahajia. Sana nina ombi. Nliwahi kuanzisha makala juu ya viungo vya mwili na hao vijana wa mashindano ya makala za afya waliendelea. Makala hizi zote zinahitaji kuangaliwa kwa sababu Wakenya (nadhani) waliunda sentensi za ajabu kidogo na pia mara nyingi walikosa viungo. Nikiingia hapa nakiri udhaifu: kwa Wasafwa na Wanyakyusa nilipojifunza Kiswahili na baadaye Nairobi sijasikia kitu kingine ila "mkono" na "mguu". Kumbe. Sasa nimetengeneza picha ya mkono nikilenga ktaja sehemu zake kuanzia bega kupitia kisugidi hadi kiganja. Lakini ninahisi ya kwamba sina uhakika kwa sababu sina uzoefu kutaja sehemu zile (yooote mkono!) na kamusi zangu si wazi sana; mara nyingi maelezo si kamili, yanaingiliana maana au kuna maneno kadhaa na mimi sijui lipi ni afadhali. Je unajua wewe majina haya au unaweza kuchungulia kidogo? Tuanze kumaliza mkono baadaye inafuata mguu na mengine! Namwuliza pia Muddy ni vema kusikia jinsi wanavyosema Dar. Asante ndimi wako Kipala (majadiliano) 08:38, 10 Aprili 2011 (UTC)
Je kuna wilaya ya Bunda vijijini?? Kama iko naomba habari na marejeo kwa ajili ya makla za wilaya / Mkoa wa Mara. Kama la, makala ya Jimbo Katoliki la Musoma isahihishwe. Kipala (majadiliano) 11:05, 22 Januari 2012 (UTC)
Hongera kwa juhudi zako!--MwanaharakatiLonga 07:57, 21 Agosti 2012 (UTC)
Ndugu Muddy, asante kwa pongezi zako. Nazipokea kwa mikono miwili kutoka kwako, bosi! Ni kweli sijachoka kuchangia Wiki. Ila nasikitika kuona umepunguza kasi zako, na pengine nawaza kuwa nimesababisha mimi mwaka juzi. Hivyo napata moyo ninapoona matendo kama hili na lile la kuupandisha chati ukurasa juu ya mpendwa wetu Bikira Mariamu. Mungu atujalie daima amani! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:49, 26 Agosti 2012 (UTC)
Salaam nimeona makala nimefikiri umbo la jina Zoroasta / Uzoroasta labda ingefaa zaidi. Jinsi ilivyo naona sasa tatizo ya kwamba umetumia jina "Zoroaster" lakini dini kama "Uzoroastro" ambako ninahisi Kiitalia iliingilia kidogo. Unaonaje? Kipala (majadiliano) 11:46, 1 Novemba 2012 (UTC)
Ndugu Kipala, ni furaha kila ninapoona unaendelea kujitokeza katika wiki yetu. Kuhusu jina la dini hiyo, inawezekana athari ya Kiitalia, lakini pia jina la Kiingereza Zoroastrianism limechangia. Sina shida ukipenda kubadilisha jina liwe rahisi zaidi. Samahani, niliwahi kuandika ombi la kurekebisha picha uliyoswahilisha ya mwaka wa Kanisa, kwa kuandika Siku Tatu Kuu za Pasaka badala ya Ijumaa Kuu - Pasaka: ni mtazamo mpana zaidi, unahusisha karamu ya mwisho na Jumamosi Kuu katika umoja wa fumbo la Pasaka. Asante. Amani kwenu! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:07, 2 Novemba 2012 (UTC)
Riccardo, salaam. Ni siku nyingi sana zimepita na sijapata kujua hali yako na hata kuomba msaada wa hapa na pale. Haya, leo nimekuja na shida kidogo. Ninaomba urekebishe hiyo makala kama unaelewa jamaa alitaka kumaanisha kitu gani. Nimeona mambo yanayokuhusu - ndiyo maana nimekuja kwako. Tafadhali saidia kupanua makala hiyo ili iwe Kiwikipedia zaidi na kuleta maana vilevile. Wako, Muddyb, au--MwanaharakatiLonga 09:54, 4 Juni 2013 (UTC)
(Kiitalia) Scusami, signor Riccioni.
Il mio italiano non è buono.
(Kiingereza) Can you help me with a small translation?
My page en:Le Monde's 100 Books of the Century
What is a good Swahili name for the page?
(Ho scritto anche la pagina italiana it:I 100 libri del secolo di le Monde.)
Mille grazie. Nel Canada, Varlaam (majadiliano) 15:28, 15 Julai 2013 (UTC)
Nambari ? | Mada ? | Mwandishi | Mwaka |
---|---|---|---|
1 | The Stranger |
Albert Camus ![]() |
1942 |
Greetings again. I just repaired some vandalism to the Tanzania article, but I did not issue any warning, since I do not speak the language.
Fransisko wa Asizi:
I saw his name at the top of this page.
I saw St. Francis's robe in the museum in Assisi.
You feel that you are in the presence of greatness.
Varlaam (majadiliano) 23:49, 19 Julai 2013 (UTC)
Salaam, P.Riccardo. Kuna mpango wa mkutano mjini Johannesburg mwezi wa pili mwakani, angalia http://wikiindaba.net/index.php?title=Main_Page - pia, umeombwa kujibu maswali yao kwenye tovuti la Google docs: https://docs.google.com/forms/d/1zEk6hw4IiQYVrdJGYphPhQHOQFi4wdOIXvzVj9vy_gU/viewform Asante kwa msaada wako. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 12:32, 4 Novemba 2013 (UTC)
Salaam Riccardo! Naone umeshaanza kuhariri makala kadhaa za wilaya mpya. Mimi nimeangalia matokeo ya sensa naona hapa kuna orodha kamiliy a kata na wilaya kwa hali ya 2012. Kuna mabadiliko mengi. Kwa sasa naandaa orodha ya kata zota za wilaya zote; maana kuna wilaya mpya lakini pia kata mpya katika wilaya zote. Je unaweza kusaidia hapa? Nikipata email yako naweza kukutuma faili za excel na word penye orodha hizi. Asante. Kipala (majadiliano) 21:57, 27 Novemba 2013 (UTC)
Napenda kukushukuru kwa kuchungulia mara kwa mara michango yangu! Kwa kweli naona A) kuna udhaifu upande wangu kurudia kusoma kwa makini yale niliyoandika na B) ilhali nakaa mbali na Waswahili siku hizi Kiswahili changu kimedhoofika kiasi - kwa hiyo: Asante! Kipala (majadiliano) 21:26, 17 Desemba 2013 (UTC)
Hello Sir. My name is Rexford Nkansah, currently serving as a Wikipedian in Residence at the Africa Centre in Cape Town.
The Wikimedia Foundation has shared with us the incredible number of edits that you have done on this Wikipedia. You have are one of those with the high contribution to this Wikipedia.
As one of the highest contributors to one of the languages of the African continent, I want to inform you about the upcoming Wiki Indaba Conference which is similar to Wikimania, however, its designed by Africans for Africans.
This message is to inform you about scholarship to attend application currently open. You're invited to apply for scholarship to attend this conference.
Please see the main Wiki Indaba Website for more details on Eligibility and Deadline – look at www.wikiindaba.net for more details. And like the facebook page for updates.
Please don't hesitate to get in touch should you have any questions.
my contact is rexford[@]wikiafrica.net
Mpendwa, nakuomba uangalie baada ya siku 2,3 kurasa hizi mbili:
1. Wikipedia:Wakabidhi#Kusafisha_orodha_ya_Wakabidhi_mwaka_2014
2. Wikipedia:Ukurasa_wa_jumuia#Wiki_Indaba_2014
Kuhusu 1) napendekeza kuwachagua wakabidhi wapya na kuondoa wale waliomo katika orodha ya wakabidhi lakini hawakuwepo tangu miaka 2.
Kuhusu 2): nahitaji msaada na mawazo yenu. Nitashiriki kwenye mkutano wa Wikimedia mwezi wa Juni. Inaonekana mimi ndipo mchnagiaji wa pekee kutoka Wikipedia yetu. Ninajitahidi kupeleka mawazo ya jumuiya yetu. Naomba michango!
Nitaongeza karibuni mawazo yangu kuhusu mambo ninayoona kuwa na maana kwa mtazamo wangu. Ujumb huu natuma kwa wachangiaji wanaoonekana katika orodha ya wachangiaji hai waliochangia zaidi ya mara 3 katika siku 30 zilizopita!
Ndimi wako Kipala (majadiliano) 20:27, 13 Mei 2014 (UTC)
Nd Riccardo, sijui kama umeona ya kwamba umepigiwa kura kupewa madaraka ya mkabidhi katika wikipedia hii? Nataka kufunga kura sasa karibuni wote walioshiriki walisema NDIYO. Ni cheo kidogo zaidi nafasi ya kufanya kazi... Namshukuru Mungu ya kwamba umejiunga nasi! Kipala (majadiliano) 07:20, 22 Mei 2014 (UTC)
Hi, Riccardo! Do you do article requests in Swahili? There are some aviation-related articles and articles about Kenya on the English Wikipedia which do not yet have Swahili versions. If you are interested I can give you a list.
Thank you WhisperToMe (majadiliano) 07:57, 19 Agosti 2014 (UTC)
Caro Riccardo, Pace!
Ho visto che hai fatto alcune modifiche alla pagina del nouvo vescovo della mia diocesi, grazie! Ti chiedo, quando avessi 5 minuti, di inserire qualche notizia o nota per ampliare la pagina.
Ti ringrazio per l'aiuto e ti auguro buona domenica. Grazie ancora e a presto
Rei Momo (majadiliano) 12:48, 31 Agosti 2014 (UTC)
Hello! Sorry for writing in English. As you're an administrator here, please check the message I left on MediaWiki talk:Licenses and the village pump. Thanks, Nemo 19:22, 18 Septemba 2014 (UTC)
Salaam. Mzee wangu, ile kazi uliyonituma nimeimaliza! Sasa zimeungana na kama ulivyotaka! Kila la kheri..--MwanaharakatiLonga 14:54, 22 Septemba 2014 (UTC)
Hello! Could you translate an article about boycott of Russian goods in Ukraine for the Swahili Wikipedia? Thanks for the help. --Trydence (majadiliano) 16:00, 16 Oktoba 2014 (UTC)
Rafiki, umenishinda!! Nafungua makala nataka kuingiza habari - kumbe iko tayari! Asante!! --Kipala (majadiliano) 08:58, 13 Novemba 2014 (UTC)
Salaam naomba utazame hapa: Majadiliano_ya_Wikipedia:Wakabidhi#Mawasiliano_na_ofisi_ya_WMF_-_Wikimedia_Foundation_.2F_Asaf_Bartov na kuchangia. Kipala (majadiliano) 09:56, 3 Desemba 2014 (UTC)
Ubarikiwe, ndugu! Kipala (majadiliano) 13:55, 21 Machi 2015 (UTC)
Ndugu, kiungo cha hiyo programu ni https://en.wikipedia.org/wiki/Wikipedia:AutoWikiBrowser - ubarikiwe! --Baba Tabita 14:08, 21 Machi 2015 (UTC)
Ninavyoona hakimiliki ziko kwangu. Kilichapishwa na "Motheco Publishers" - sijui kama bado wako lakini hakuna mapatano kati yetu yale yote yalikuwa kimdomo tu na watu ambao hawako tena leo. Nisingekuwa na tatizo kuiweka kwenye wikitabu ukiona inaweza kufaa (nilisita maana sijaridhika tena) lakini kule kumefungwa.Kipala (majadiliano) 13:53, 3 Aprili 2015 (UTC)
Ndugu Riccardo Riccioni, kuna makala nimetunga, lakini kumbe yapo mengine (ijapokuwa ile yangu imetanuka zaidi). Tafadhali tupieni jicho hapo: Majadiliano:Uislamu nchi kwa nchi.. Kisha fanyeni uamuzi..--MwanaharakatiLonga 19:07, 15 Aprili 2015 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam. Shukrani sana kwa masahihisho. Siku nyingi zimepita bila kuhariri na nahisi shida za hapa na pale.. Tuvumiliane hivyohivyo. Eh, tena nitafurahi kama utaendelea kuweka lugha sawa. Uwezo wangu umepungua kiasi kikubwa sana!--MwanaharakatiLonga 15:47, 17 Aprili 2015 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam. Nimeanza kuchoka na Silausi alivyochoka pia Ndg Muddyb. Huyo Silausi akiendelea kubadilisha makala bila kufuata mashauri yetu na kanuni za Wikipedia:Umaarufu, nitamzuia kwa muda kadhaa. Bahati mbaya inaonekana kama ataanzisha akaunti nyingine tena alivyofanya baada ya kuzuiliwa kama Mtumiaji:Lusajo Chicharito Brown. Unaonaje? Wasalaam, Baba Tabita (majadiliano) 16:45, 29 Juni 2015 (UTC)
Salaam, Ndugu Riccardo. Eti wingi kirai au neno "Ushanga" ni aje?--MwanaharakatiLonga 08:00, 4 Agosti 2015 (UTC)
Mpendwa, nakuomba kuaangalia ukurasa wa Jumuiya. Tuliomba wikimedia ya kutpa mfumo wa kuzuia watumiaji wasiojiandikisha wasianzise makala mapya. Kusudi lilikuwa kupunguza idadi ya makala mabaya yasiyotosheleza masharti ya wikipedia ilhali tuko wachache mno kuziangalia. Wikipedia kubwa kadhaa zinatumia utaratibu huu (kama en:wikipedia) lakini sisi tunapaswa kupeleka ombi kwa kamati fulani. Kamati hii wametupa nafasi kwa kipindi ha miezi 6 tu inayokwisha karibuni. Sasa wanakamati wamekuja wanadai tujieleza au watarudisha mfumo huu nyuma. Mimi nikiwa 1 kati ya wachache wanaochugulia makala mapya naona itaturudisha nyuma. Naomba mchangie! Sanaaaaa!! Kipala (majadiliano) 23:35, 10 Septemba 2015 (UTC)
Ndugu zangu, hongera ninyi nyote kwa kufikia makala 30,000, kazi nzuri! Mlifanya mbio za nyika kweli. Nilisafiri kwa hivyo sikuiona sasa hivi. Tuendelee mpaka hatua ijayo: 40,000. ChriKo (majadiliano) 17:53, 24 Septemba 2015 (UTC)
Salaam Ndugu Riccardo. Ahsante kwa pongezi (ijapokuwa sijioni miongoni mwa hao wanaostahili! Kuhusu vigezo tajwa hapo juu, kwanini usimuulize Kipala? Yeye ndiye alikuwa anaumba (nadhani) kama sio kuumba, basi kutumia mara kwa mara. Au labda ungefuata kimoja kizuri kisha tumia kama msingi wa maumbo ya baadaye. Wako, Muddyb au--MwanaharakatiLonga 14:25, 25 Septemba 2015 (UTC)
Salaam Ndu. Riccardo Riccioni! Ninahisi sasa punde sitokushika tena. Mwendokasi huu ni zaidi ya garimoshi la umeme. Hongera na makala ya Historia ya Afrika. Sikupati tena.. Ila pongezi sana. Wako,--MwanaharakatiLonga 07:10, 1 Oktoba 2015 (UTC)
Elimu ndio msingi wa maisha ya binadamu.
Nakuasa ndugu tujaribu kukumbuka hata kidogo hawa wenzetu wanaofanya mtihani wa kidato cha nne Mungu awape uzima tele na kuwakumbusha yale ya msingi waliyoyafanya kwa kipindi cha miaka minne walipokuwa shuleni,pia awalinde katika kufanya mtihani wa mwisho wa kumaliza shule kwa 0,level.
Tunaomba uiombe shule yetu katika kipindi hiki kigumu mitihani ya taifa
TUITUNZE AMANI YETU HAPA NCHINI TULIYOJALIWA NA MWENYEZI MUNGU
Tunakushuru ndugu Riccardo kwa kutupa malezi bora hapa shule na tunamuomba mungu akujalie maisha maisha malefu zaidi na akupatie nguvu ili uendele kuifanya kazi yake BWANA
Mpendwa, uliniandikia kwenye ukurasa wangu nikajibu sijui kama uliiona. Kama la angalia hapa: Majadiliano_ya_mtumiaji:Kipala#Kujisomea. Nitafurahi kuona jibu lako!! Kipala (majadiliano) 17:56, 15 Novemba 2015 (UTC)
Hello, nice to meet you and sorry for writing in English. I noticed that you had removed interwiki links at that page which are bound with a concept oil. I probably understand why you did so, because the term mafuta has at least two meanings: “oil / olio” and “grease / grasso”. Do I think right about it? If so, I would like to add this page to the links of d:Q10379768, which treats the both above-mentioned meanings. Your sincerely, Eryk Kij (majadiliano) 04:17, 7 Januari 2016 (UTC)
Ndugu Riccardo, salaam. Ikiwa MCDONALN ALOYCE FUTE ni mwanachama wa kilabu chenu huko Morogoro, labda umwambie kwamba haileti faida kubwa akiendelea kuanzisha makala nyingi za miaka kabla ya Kristo kama hata wanahistoria wataalamu hawajui kitu kuhusu miaka ileile (ukiangalia wikipedia ya Kiingereza utakuta kwamba miaka kadhaa haina makala). Tuingize habari zifaazo katika makala zetu. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 13:05, 23 Januari 2016 (UTC)
Asante sana. Lakini pia napata shida kuweka picha. picha zinapatikana katika wikipedia ya Kiingereza. nawezaje kuzitumia pia katika kurasa zangu? --JERRYN159
Ndugu Riccardo, naona kwamba umeweka siku ya leo kama tarehe ya kufariki kwa Askofu Isuja. Nimesikitika sana kusikia hivyo. Habari hiyo imetokea wapi? Asante kwa kazi yako yote kwa ajili ya wikipedia yetu. Wako katika kujenga elimu, --Baba Tabita (majadiliano) 17:53, 13 Aprili 2016 (UTC)
Salaam uliingiza masahishi katika makala wakati bado nahariri. Ili kuokoa nyongeza zangu nilipaswa kuhifadhi upya na mabadiliko yako sasa yamepotea. Pole. Kipala (majadiliano) 10:06, 1 Mei 2016 (UTC)
Hi. I noticed a user that is vandalising pages, including your user page. You are one of the local admins that is active here, so let me know if you want some help with this user, of if you prefer to handle it yourself. -- Tegel (majadiliano) 10:46, 1 Mei 2016 (UTC)
Salaam ilhali mimi ni mdhaifu sana katika mambo ya hisabati naomba kama uwezekano upo umwonyeshe mwalimu wa hisabati ukurasa huu logi (labda umpe ukiuchapisha) na kumwuliza kama chaguo ya maneno ni sahihi, kama maelezo hadi hapo ni sahihi na labda pia kama inaweza kusaidia, au ni nini iliyokosewa au kukosekana. Kipala (majadiliano) 18:50, 1 Mei 2016 (UTC)
Please write here question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). CYl7EPTEMA777 (majadiliano) 08:12, 9 Mei 2016 (UTC)
Salaam tele kutoka mjini, Dar es Salaam. Ninaomba unisamehe mzee wangu kwa kutoweka jamii au kuumba jamii ambazo ninaziweka. Nimeona mara kadhaa umeingia kila mahali na kuweka jamii husika. Siku mingi sijaja humu vilevile furaha yangu kuona nyendo zangu kuna wakubwa wanaangalia! Ubarikiwe sana. Wako, --MwanaharakatiLonga 07:40, 14 Mei 2016 (UTC)
Please write here (this talk user page) question in english language why me blocked in russian wikipedia, then wikipedia talk and then wikimail (they not understood what happened and just blocked everywhere) this very easy write (likely me block and in kiswahili wikipedia). CYl7EPTEMA777 (majadiliano) 22:11, 17 Mei 2016 (UTC)
Carissimo Riccardo, grazie mille per il tuo aiuto. Sai, quest'estate, ero a Pesaro il 24 agosto, e sono stato svegliato all'alba dal terremoto. Il mio letto ha tremato per 30 secondi come una barca!!! Che paura!!!
Ma sono ancora qui, e devo pregare per tutti quelli che non ci sono più.
Grazie ancora per l'aiuto e a presto!!!
Rei Momo (majadiliano) 22:27, 8 Septemba 2016 (UTC)
Fattoooooo!!! Per favore, mi tradurrest le 4-5 parole che ho inserito in questa pagina? Grazie mille per il tuo aiuto prezioso!!!
Rei Momo (majadiliano) 14:48, 10 Septemba 2016 (UTC)
Caro Riccardo, Pace!
Qui, nella Bassa Padana, si muore di caldo, a Caselle Landi ci sono ancora 35°C!!!
Ho aperto queste due nuove pagine, e ti chiedo qualche minuto del tuo tempo, per favore, per vedere se ci sia qualcosa da limare. Grazie mille per l'aiuto prezioso!
Rei Momo (majadiliano) 15:39, 11 Septemba 2016 (UTC)
I dont speak Swahili, sorry, but I wrote a little piece on Donald Trump anyway, using google translation. Its good if you can check and improve. He is the newly elected American president, as you know. Also, if you can check Astrid Lindgren it would be good. She is a very famous author of childrens books, known worldwide for her stories. See English wikipedia etc. Another thing I have thought about is that all the African wikipedia-versions are very undeveloped. Including swahili, although its a quite big language. I would like to get in touch with people with whome I can talk (in English) about this, and strategies for improvement. One thing that I have thought about is that there should be some people in Tanzania, Kenya and Uganda that are paid to have courses on wikipedia. For example in local groups at home, or in schools. What do you think? --Mats33 (majadiliano) 16:59, 11 Novemba 2016 (UTC)
Salaam, nitashukuru ukioata nafasi kumwuliza mwalimu wa chuo kama aliona email yangu. Sijapata jibu tangu kuandika wiki 2 sasa.
Halafu ombi: Tunahitaji makala za jando na unyago. Naomba usaidie. Kipala (majadiliano) 21:03, 17 Novemba 2016 (UTC)
Mnaijeria wa chuo alikuwa anasubiri e-mail yako. Halafu akatuma watu kuniulizia. Niliposikia hivyo, nilimtumia ujumbe kwamba mimi nilipata nakala, halafu nikamtumia. Sijajua kama sasa ameipata au alikosea kunipa anwani yake. Kuhusu makala hizo, nitajaribu. Shalom! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 09:14, 18 Novemba 2016 (UTC)
Hi. I have a question. I would like to translate some articles to Swahili (mostly about computer science). But I don't speak Swahili. So, I've found the non-native Swahili speaker, making translations for money. But since I don't speak Swahili at all, I can't rate these translations by myself. The examples may be found on my page. Is the quality of the articles satisfactory? Should I place such articles to the public categories? Or should I place them in the sandbox or somewhere for review? Or the translations are just bad, and I search another translator? (Repost from Majadiliano ya mtumiaji:Malangali) --DoctorXI (majadiliano) 12:32, 22 Desemba 2016 (UTC)
Could you, please, recommend a good translator from English? For example, for $18 per 1800 characters (1 page). --DoctorXI (majadiliano) 14:23, 23 Desemba 2016 (UTC)
Hello, could you please translate Automatic refresh (Aggiornamento automatico) to Kiswahili? Thanks -XQV- (majadiliano) 20:07, 13 Januari 2017 (UTC)
Hello! The Wikimedia Foundation is asking for your feedback in a survey. We want to know how well we are supporting your work on and off wiki, and how we can change or improve things in the future. The opinions you share will directly affect the current and future work of the Wikimedia Foundation. You have been randomly selected to take this survey as we would like to hear from your Wikimedia community. To say thank you for your time, we are giving away 20 Wikimedia T-shirts to randomly selected people who take the survey. The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes.
You can find more information about this project. This survey is hosted by a third-party service and governed by this privacy statement. Please visit our frequently asked questions page to find more information about this survey. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email to surveys@wikimedia.org.
Thank you! --EGalvez (WMF) (talk) 21:41, 13 Januari 2017 (UTC)
Salaam kuna Pendekezo: Tuanzishe kitengo cha WikiSource NDANI ya wikipedia yetu unaombwa kuiangalia na kupiga kura! Kipala (majadiliano) 02:06, 29 Januari 2017 (UTC)
Ndg. Riccardo, salaam. Je, ungeweza kumwelezea mwanafunzi wako Macdonaln Aloyce Fute jinsi ya kurejea makala za namba kwa makala za miaka? Tena mambo ya namba tasa nilivyofanya kwa namba kuanzia 540 hadi 556. Nitashukuru sana! Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 09:45, 30 Januari 2017 (UTC)
Salaam, naona umehamisha makala ya Neptun kwenda "Kausi". Ukisoma Majadiliano:Sayari utaona ya kwamba naona sababu za kuamini hili ni kosa. Sijakuta ushuhuda wowote ya kwamba kuna jina la "Kausi" kwa ajili ya sayari hii. Kwa bahati mbaya kosa lililotokea wakati wa kutunga orosha ya sayari kwa KAST limeenea hadi vitabu kadhaa vya shule ya msingi. Naona "Kausi" ni kosa lakini je tufanyeje?? Kipala (majadiliano) 20:21, 12 Februari 2017 (UTC)
Kipala (majadiliano) 11:20, 14 Februari 2017 (UTC)
(Sorry to write in English)
Hello! This is a final reminder that the Wikimedia Foundation survey will close on 28 February, 2017 (23:59 UTC). The survey is available in various languages and will take between 20 and 40 minutes. Take the survey now.
If you already took the survey - thank you! We won't bother you again.
About this survey: You can find more information about this project here or you can read the frequently asked questions. This survey is hosted by a third-party service and governed by this privacy statement. If you need additional help, or if you wish to opt-out of future communications about this survey, send an email through EmailUser function to User:EGalvez (WMF). About the Wikimedia Foundation: The Wikimedia Foundation supports you by working on the software and technology to keep the sites fast, secure, and accessible, as well as supports Wikimedia programs and initiatives to expand access and support free knowledge globally. Thank you! --EGalvez (WMF) (talk) 07:35, 23 Februari 2017 (UTC)
Ndugu, salaam. Nataka kukujulisha tu kwamba nimealikwa kuhudhuria Wikimedia Conference 2017, nami nikajisajili tayari. Sitahudhuria rasmi kwa ajili ya wikipedia yetu bali kama mwanakamati wa LangCom. Wasalaam, --Baba Tabita (majadiliano) 20:58, 4 Machi 2017 (UTC)
Salaam, Naomba munichangie msaada wa kukubali ombi langu la kupewa laptop kule Meta-Wiki. Kiungo hiki hapa. Wako,--MwanaharakatiLonga 13:13, 17 Machi 2017 (UTC)
Status
Grazie mille /Asante sana! Gaudio (majadiliano) 20:19, 23 Machi 2017 (UTC)
PIRLA CHI LEGGE
Buongiorno Padre Riccardo, spero tutto bene lì da voi, qui abbastanza bene per ora, ringraziando Dio stanno iniziando le belle giornate e mi posso dedicare alla campagna e a Wikipedia. Le scrivo per chiederle una cortesia se può e vuole e ha tempo per me. Grazie al web ho avuto modo di conoscere amici di Uganda, Kenya e Tanzania grazie anche al nostro amato parroco don Apollinaris che è di quelle zone (di Moshi per l'esattezza), e ultimamente sto aggiornando tutte le pagine dei due borghi dove vivo e lavoro e dove ovviamente il sacerdote presta servizio. Mi chiedevo se le andrebbe di ampliare e/o aggiornare le pagine di Coreca eCampora San Giovanni, giusto e non più di 20 minuti del suo prezioso tempo. Oltre a questo, presto o forse in queste ore, un mio amico di Facebook proveniente dal Kenya si iscriverà nella Wikipedia Swahili, su mio suggerimento gli ho detto che lei potrà aiutarlo i primi tempi, bene detto questo spero di avere sue notizie quanto prima, un caro saluto da Coreca e Campora San Giovanni. A presto!--Luigi Salvatore Vadacchino (majadiliano) 06:31, 5 Mei 2017 (UTC)
Salaam naomba ukipata nafasi waambie vijana waangalie wanachooweza kuuona kwenye kurasa zao za majidiliano. Pia waangalie tena kurasa walizowahi kuandika. Maana naona wengine wanatunga makala hovyo, hata kuhusu mada ambazo ziko tayari hakuna njia ili kufuta. Mengine ya awali hawaangalii tena. Nilimwandikia DANIEL DE SANTOS maelezo marefu, nahisi hajaona. Wengine tatizo lilelile. Asante Kipala (majadiliano) 14:19, 17 Juni 2017 (UTC)
Ndugu Riccardo salaam,
Baada ya salaam, nikupe pole na kazi nyingi!
Ombi sasa,
Binafsi ningeliweza kuipanua makala hii, lakini naona kama sekta yako.
Bora niheshimu upanuzi wake ufanywe na mtu mqenye maarifa ya juu katika masuala ya dini kuliko kupapachia!
Najua utaiboresha katika viwango vizuri. Isitoshe: una faida za lugha nyingi tu.
Wako,
--MwanaharakatiLonga 05:13, 12 Septemba 2017 (UTC)
2008 = 643
2009 = 1,311
2010 = 728
2011 = 801
2012 = 1,458
2013 = 934
2014 = 2,371
2015 = 3,734
2016= 4,745
2017 = 5,302
Au chungulia haririo zote hapa: kiungo cha kuonesha haririo zako zote.. Ahsante sana kwa kushiriki pamoja kujenga wiki yetu hii!--MwanaharakatiLonga 14:31, 12 Septemba 2017 (UTC)
Salaam tena, Ushauri wangu, bora tu, utafsiri cha juu hapo ambacho kishakamilika na kimeunga kurasa nyingi! Ushauri tu!--MwanaharakatiLonga 03:46, 17 Septemba 2017 (UTC)
Kweli hatimaye. Kabisa ndugu. Tumerudi!! --Ndesanjo (majadiliano) 05:33, 3 Oktoba 2017 (UTC)
Prima di annullare andrebbe controllato. Quel quadro é di un anonimo. Si capisce dal titolo, dalla pagina su commons e dal sito ufficiale di palazzo Barberini dove sta. per favore correggi. Pierpao Pierpao (majadiliano) 07:15, 14 Novemba 2017 (UTC)
Vipi. Ile makala ya interior design. Je ipi ndio sahihi hasa? Usanifu wa ndani au ubunifu wa ndani. Au kuna neno jingine? --Ndesanjo (majadiliano) 10:42, 14 Novemba 2017 (UTC)
Asante kwa kunisaidia kuikamilisha nakala ya Rayvanny.Boy Addi (majadiliano) 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC) Boy Addi (majadiliano) 16:23, 29 Novemba 2017 (UTC)
Tafadhali pitia kurasa mpya niliyo andika na uchangie.Pliz check on my new article Tarrus Riley and make editings and contributions. Boy Addi (majadiliano) 19:43, 30 Novemba 2017 (UTC)
Tuna makala ya Wakelti na umbo hili la jina limeshatumiwa mara kadhaa linganisha hapa: Maalum:VingoViungavyoUkurasahuu/Wakelti.
Je ingekuwa vigumu kuhamisha hata makala hii kuwa "Makanisa ya Kikelti"?? 'Kipala (majadiliano) 10:05, 27 Januari 2018 (UTC)
Salaam,
Habari za masiku!
Naona si kazi kubwa sana.
Ngoja nikufanyie fasta uone! Ni namna ya kuvuta tu.. Nipe dakika 2 zote zitaisha kwa Argentina. Ila hizo zingine nitahitaji AutoWikiBrowser.. Ngoja nitaza kwanza.--MwanaharakatiLonga 11:44, 8 Februari 2018 (UTC)
Riccardo salaam. Niliona makala inayoitwa Fati, nikashangaa. Sijawahi kuona au kusikia neno hili, hapa Kenya hasa. Neno hili hutumika sana kwenu Tanzania? Nikisoma kuhusu chakula ninaona mafuta tu, au pengine shahamu. ChriKo (majadiliano) 17:41, 2 Machi 2018 (UTC)
Asante kwa makala za milima! Je habari zao unapata wapi? Kuna chanzo kinachoweza kutajwa? Kipala (majadiliano) 17:33, 5 Machi 2018 (UTC)
Salaam tele,
Tunakuunga mkono kiaina, japo siku hizi shughuli zinanichosha kuliko zamani. Ila nitajihidi kufanya kama awali.--MwanaharakatiLonga 20:43, 17 Machi 2018 (UTC)
Salaam,
Ndugu, hakika unanihamasisha kuanza kupanda mbegu. Japo sijui nitapanda mbegu za mti gani.
Naona kama wazo la kuanza kuzipanda linanijia.
Nimekumbuka, nadhani nina kiporo cha Uislamu kwa nchi. Labda niingize idadi tu badala ya maneno mengi? Kuimaliza Afrika ilinichukua mwaka mzima!
Nitajaribu!
Ahsante sana kwa hamasa yako.
--MwanaharakatiLonga 11:06, 2 Aprili 2018 (UTC)
Salaam mzee wangu, Riccardo Riccioni!
Naona unaendeleza kasi yako ileile. Vizuri
Ila kuna jambo kidogo nataka kuuliza. Hivi yale majimbo uliyowekea (mabano) una mpango wa kuunda makala ya kujitegemea?--Muddyb Mwanaharakati Longa 13:53, 15 Aprili 2018 (UTC)
Hongera kwa kutusukuma juu ya 41000!! Kipala (majadiliano) 19:50, 2 Mei 2018 (UTC)
Habari ndugu Riccardo Riccioni napenda ufafanuzi zaidi juu yahaya maneno mawili, amboyo ni neno la kiebrania Qadash pamoja na neno la kigiliki Hagios. Ahsante Enock John (majadiliano) 08:54, 7 Mei 2018 (UTC)
Carissimo Riccardo, Pace!
Ho visto che hai creato tu questa pagina, tempo fa! Bravissimo! Volevo segnalarti che, da qualche tempo, Gregorio III è patriarca emerito, l'attuale patriarca è Youssef Absi (senza mettere il "I", per favore). Poi, volevo chiederti, se puoi anche aggiungere che l'Arcieparchia di Gerusalemme dei melchiti è retta, attualmente, da mons. Yasser Ayyash. Grazie mille per il tuo prezioso aiuto, a presto.
Rei Momo (majadiliano) 06:30, 15 Juni 2018 (UTC)
Ciao! Nel tempo libero mi occupo di sistemare i collegamenti interwiki delle categorie in diverse lingue. Passando di qui ho notato che Jamii:Georgia (nchi) e Jamii:Georgia sembrano essere la stessa categoria: potresti unirle nel modo migliore? Grazie mille e a presto, --Epìdosis (majadiliano) 12:47, 6 Julai 2018 (UTC)
Salaam, ndugu! Tumeona ya kwamba Oliver anachukua likizo. Sasa tulikuwa na mfumo ya kwamba tunaangaliana katika makala yaliyopendekezwa kwa ufutaji. tulipatana mmoja analeta mapendekezo lakini asifute mwenyewe isipokuwa ni jambo ambalo halina maswali. Menginevyo mwingine aamue. Ilhali Oliver hapatikani kwa muda huu naomba uingie wewe! Tazama hapa: [[1]].- --Kipala (majadiliano) 18:00, 7 Julai 2018 (UTC)
Riccardo salaam. Wakati nilipofanya mabadiliko kwenye sanduku ya samaki, nilijiuliza kama Kiswahili ina istilahi kwa "shoal" au "school of fish". Nikatafuta kwenye kamusi kadhaa. Inaonekana kama neno la kawaida ni kundi, lakini TUKI (English - Swahili) inatoa pia usheha kwa "shoal" na kamusi ya Willy Kirkeby inatafsiri "school of fish" kwa taasisi. Nilishangaa na kwenye Google sikuweza kupata mifano ya maneno haya yakimaanisha "shoal" au "school". Unajua kwamba maneno haya yanatumika kwa maana hii? ChriKo (majadiliano) 11:25, 9 Septemba 2018 (UTC)
Salaam, Ndugu Riccardo, nimeona umeunganisha makala ya afya ya Michael Jackson na makala yake nyengine kuhusu maisha, muziki na mambo mengine. Kifupi hizo zilikuwa makala mbili tofauti. Wala haikuwa na haja kuziunganisha. Wikipedia ya Kiingereza ina makala yake maalumu kuhusu afya ya MJ. Nami nikafanya hivyo hapa kwenye Wikipedia ya Kiswahili. Sioni sababu ya kuiunga hata kidogo. Basi unganisheni na makala za albamu, singo na mengineyo. Wikipedia karibia zote wametenga makala ya afya na muziki. Sisi tumechanganya yote mahali pamoja. Mkanyanyiko mtupu.--Muddyb Mwanaharakati Longa 07:19, 7 Oktoba 2018 (UTC)
Naomba angalia hapa Wikipedia:Jumuia#Mkabidhi_kwa_Jadnapac (Halafu: Je unaona nafasi kuja Dar mwisho wa Novemba kwa warsha ya Astronomia, Ijumaa- Jmosi?). Kipala (majadiliano) 21:39, 30 Oktoba 2018 (UTC)
Salaam naona umeanza kushughulika miji ya Kenya, asante! Ila tu unatumia namba bila kutaja vyanzo. Ni vema ukiweza kukumbuka. Kwa vyote vya Kenya nimetengeneza tanbihi ifuatayo inayoweza kuwekwa: <ref>[https://www.knbs.or.ke/download/volume-1a-population-distribution-by-administrative-units-2/?wpdmdl=3765 Sensa ya Kenya 2009], tovuti ya [[KNBS]], ilitazamiwa Januari 2009</ref>
Kipala (majadiliano) 18:28, 7 Januari 2019 (UTC)
Please help translate to your language
Africa has many beautiful festivals, ceremonies and celebrations of love and we need your help to document these! They are the core part of African culture and in order to make sure this way of life followed by our ancestors remain among us, we need to have them online to make sure they are preserved. Join hands with Wiki Loves Love that aims to document and spread how love is expressed in all cultures via different rituals, celebrations and festivals and have a chance to win exciting prizes!! While uploading, please add your country code in the Wikimedia Commons upload wizard. If you want to organize an on-site Wiki Loves Love event, then contact our international team! For more information, check out our project page on Wikimedia Commons.
There are several prizes to grab. Hope to see you spreading love this February with Wiki Loves Love!
Imagine...The sum of all love!
Wiki Loves Love team 07:34, 4 Februari 2019 (UTC)
Salaam, tuna majadiliano kuhusu "tako la bara". Muddy haipendi, ChriKo ana mawazo. Je unaweza kuwauliza alimu wa jiografia kama wanajua Kiswahili cha continental shelf, na wangependelea nini? Nilianza makala kwa kutumia "tako la bara" (sikumbuki kam niliikuta au niliitunga kwa jaribio la kutafsiri), sasa nilikuta matumizi ya "kitako" kwa "msingi, chanzo, kiti cha kitu", na chriko alipendendekeza "mwambao wa bara" (ambayo mim sidhani inafaa). naomba jaribu kuwauliza. Kipala (majadiliano) 07:59, 6 Februari 2019 (UTC)
Naona umebandika pendekezo la kufuta kwa makala mbalimbali. Ila tu usipopeleka jina kwenye ukurasa wa Wikipedia:Makala_kwa_ufutaji zitabaki tu maana maana si rahisi kuzitambua. Baada ya kuweka tangazo ((futa)) unaweza kubofya ile "hapa" ya buluu na kuandikisha makala mle kama sehemu mpya. Kipala (majadiliano) 07:17, 19 Februari 2019 (UTC)
Ehi ciao, sei Italiano? Ho visto che hai spostato la pagina "Cerro San Valentin" a "Monte San Valentin", ma la grafia corretta in spagnolo è "Monte San Valentín", con l'accento acuto. Potresti spostarla tu per piacere?
Ehm... Ma se parli Italiano perché non rispondi? Lo spostamento della pagina non riguardava la parola "Monte" ma l'accento su "Valentín", quindi chiamalo pure "Cerro", "Monte", "Mlima" o come ti pare, l'importante è aggiungerci l'accento acuto per rendere l'ortografia spagnola corretta. Grazie!
Sì, ero italiano. Non ti ho risposto perché tu non hai firmato. Devi sapere che il Kiswahili non ha accenti nello scritto, quindi diventa quasi impossibile cercare la pagina con l'í. Però ho messo l'accento nel testo, dove è indicato il nome in Spagnolo. Penso che basti. Pace a te! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 07:58, 1 Machi 2019 (UTC)
Ho capito. Be', non voglio intromettermi nelle scelte di questa versione di Wikipedia perciò non insisterò, però non è un discorso di caratteri e diacritici esistenti in Swahili, perché si tratta di un nome straniero che viene scritto come nella lingua originale. In tutte le altre lingue di Wikipedia questa pagina ha l'accento, anche in quelle in cui l'accento non esiste, tipo il Polacco ma anche l'Esperanto che è una lingua artificiale. Su questa enciclopedia ho trovato per esempio la pagina su "Édith Piaf" scritto con l'accento, così come in quella italiana ci sono quelle su "Anders Ångström" o "Karol Wojtyła". Se preferisci non lasciare diacritici per questa particolare pagina come ho detto non insisterò a convincerti a farlo, ma sarebbe un'eccezione ingiustificata sia fra le altri wiki per questa voce sia fra le altre voci in questa wiki. Grazie comunque per avermi dato una risposta educata e civile, non tutti lo fanno qua dentro. Pace a te :-) --151.48.68.205 (majadiliano) 19:59, 7 Machi 2019 (UTC)
Jambo, Mimi ni mpya kwa Wikipedia.Nahitaji msaada tafadhali.Niliandika makala ya Kiswahili na napenda unisome na kunisaidia kurekebisha. Asante.
Asante kaka Riccioni kwa kugundua mchango nilioifanya katika eneo bunge la Limuru. Kwa swala la kuongeza data katika majimbo na maeneo bunge ya huku Kenya, nitafanya jitihada ya kuhariri. Mimi bado ni mwanafunzi wa Shule Ya Upili Anestar, Lanet-Nakuru , Kidato cha 3 na kwa sababu tumekuja likizo ya wiki nne nitakuwa huku mara kwa mara. Huku twasema zote, lakini hutegemea. Maeneo bunge ni tofauti na majimbo huku. Majimbo ni kama Nakuru,Mandera,Narok,West Pokot ambayo ni 47 na eneo bunge ni kama Kabete,Limuru, Malindi, Lanet na mengine ambazo ni 290.
Kunradhi kwa kurudisha ujumbe wako baada wa muda mrefu 😁.
Peace man --RazorTheDJ (majadiliano) 15:28, 6 Aprili 2019 (UTC)
Nina swali, mtakuwa na warsha ya Swahili Wikipedia siku gani? Nitafurahi sana kukiwa nayo, nitafanya juu chini kuhudhuria. Sarufi yangu inaweza kuathiriwa na sheng kidogo lakini nitakuwa mwanaisimu kama wewe 😁 Kuwa na siku yenye fanaka. Salamu nyingi kutoka kwa mamangu huku Nairobi,Kenya --RazorTheDJ (majadiliano) 07:29, 7 Aprili 2019 (UTC)
Uliniuliza kwa nini nilibadilisha. Kwa kweli sijui wala sikumbuki. Nikiitazama siwezi kuwaza mabadiliko yana kusudi gani. Hata nina mashaka kama ni kweli mabadiliko yangu, lakini siwezi kuwaza jinsi gani mwingine aliweza kuhariri kwa jina langu. Kama kosa langu, basi nisamehe. Nimeirudisha jinsi ulivyoiacha. Asante kwa kuuliza. Kipala (majadiliano) 10:49, 12 Aprili 2019 (UTC)
Hello Ndugu Riccardo, Thank you very much for your kind works on the stubs i am currently proposing about Côte d'Ivoire. Could you, please, correct this draft concerning the departments of Côte d'Ivoire, before its possible publication ? Thanks in advance. --Zenman [Majadiliano] 10:45, 8 Mei 2019 (UTC)
Ciao caro, come stai? Quì abbiamo avuto un maggio completamente piovoso, adesso, forse si starà meglio!
Per favore, noto che in questa città c'è il seminario maggiore, magari può servire nella pagina, me lo aggiungeresti, tu, per favore? Grazie mille, un caro saluto, in comunione!
Rei Momo (majadiliano) 09:38, 2 Juni 2019 (UTC)
Ndugu, kuna watu wanafanya warsha ya kuandika kwenye Wikipedia? Naona kuna makala nikadhani labda ni wanafunzi wanajarijaribu hivi.--Ndesanjo (majadiliano) 13:05, 9 Juni 2019 (UTC)
Shikamoo Baba,
I'm again coming back to ask your help. Would you, please, have a look at these two drafts (SLM2 ; SLM3) that could serve as models for other articles to create? Asante sana. --Zenman [Majadiliano] 11:48, 10 Juni 2019 (UTC)
Merci beaucoup pour vos contributions. Je voudre entendre le significance de "Imara" dans le box. Paix à tous! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 13:21, 10 Juni 2019 (UTC)
Hello Riccardo Riccioni, Can you, please, give your opinion on this question? Thanks in advance. --Zenman [Majadiliano] 18:45, 21 Juni 2019 (UTC)
Eti ugonjwa wa Cellulitis kwa Kiswahili ni nini?--Ndesanjo (majadiliano) 08:53, 27 Juni 2019 (UTC)
Riccardo salaam. Umeona barua pepe niliyokutuma hivi karibuni? Ningependa kupata maoni yako juu ya majina ya wadudu wale. Asante. ChriKo (majadiliano) 15:52, 28 Juni 2019 (UTC)
Kazi njema na amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 10:16, 10 Julai 2019 (UTC)
Hi Riccardo! I removed some additional spam links by one of the accounts we talked about last week here. However I noticed many times when he spammed a url he wrote the link direct in english (ie. instead of [www.google.com mbwa], they wrote [www.google.com dog]. Would you mind taking a look and translating the actual words where I removed the bad spam links? Thanks! Praxidicae (majadiliano) 14:39, 10 Julai 2019 (UTC)
Ndugu naona Kiswahili changu kinanitoka kidogoǃ Hahaha. Asante kwa masahihisho yako. Kweli lugha umeipata kabisa. --Ndesanjo (majadiliano) 08:12, 18 Julai 2019 (UTC)
Are you doing good Kitereza (majadiliano) 19:34, 20 Agosti 2019 (UTC)
Hey, I saw a bunch of issues with templates, especially cite book/journal and this is probably what is causing it. Praxidicae (majadiliano) 18:14, 23 Agosti 2019 (UTC)
Share your experience in this survey
Hi Riccardo Riccioni,
A couple of weeks ago, we invited you to take the Community Insights Survey. It is the Wikimedia Foundation’s annual survey of our global communities. We want to learn how well we support your work on wiki. We are 10% towards our goal for participation. If you have not already taken the survey, you can help us reach our goal! Your voice matters to us.
Please take 15 to 25 minutes to give your feedback through this survey. It is available in various languages.
This survey is hosted by a third-party and governed by this privacy statement (in English).
Find more information about this project. Email us if you have any questions, or if you don't want to receive future messages about taking this survey.
Sincerely,
RMaung (WMF) 18:58, 20 Septemba 2019 (UTC)
Ndugu kwa bahati mbaya umeharibu kazi! Sijamaliza nilikuwa nilihifadhi hatua ya kwanza tu (kwa hiyo bado Kiswahili kibaya!) nikaendelea na kupumzika - basi inaonekana yote imepotea. Basi. - Je uliona email yangu?Kipala (majadiliano) 09:47, 18 Oktoba 2019 (UTC)
Ndugu Riccardo natumai uko salama, kuna makala inayohusu mifumo katika soka "formation" nilijaribu kutafsiri kutoka lugha ya kiingereza, nilivyochapisha utangulizi haukua na marejeo kabisa pamoja na jamii, nilikuta notification kwamba ukurasa huo utafutwa, niliongeza vilivyokosekana kwa kutafsiri kipande kingine chenye marejeo, kwa upande wa jamii niliweka michezo hii ilikua ijumaa ya tarehe 18, hadi leo hii bado naona kuna ujumbe wa kufuta makala hiyo.--Innocent Massawe (majadiliano) 05:36, 21 Oktoba 2019 (UTC)
Naona umeanza kusahihisha uwingi wa tawimto kuwa "matawimto". Una uhakika ??? Tawimto ni mto ambao ni tawi la mfumo wa mto mkubwa zaidi. Kama ni mingi ni mito - ha hii naona ni neno kuu. Kwa hiyo si lazima "mito" ionyeshe uwingi? Sikioni inaumia kidogo nikiona "matawimto mikubwa" (Syr Darya). Kipala (majadiliano) 13:07, 25 Oktoba 2019 (UTC)
Tawimto si tawi moja lenye mito mingi, wala mto moja mwenye matawi mengi (kinyume chake katika ufafanuzi!) - ni mto mmoja lenye tabia ya kuwa tawi la mto mkubwa zaidi. Kwa hiyo naona mantiki halingani. Ama iwe "matawimito" au "tawimito". Basi nitajaribu kuuliza aruspicina di Tataki. Kipala (majadiliano) 20:31, 25 Oktoba 2019 (UTC)
Nahitaji kujua Vigezo vya msanii kuwekwa Wikipedia. Je anatakiwa awe na umaarufu wa kiasi gani..? au awe ametoa nyimbo ngapi zilizomo katika kurasa za Google na YouTube..? Naomba msaada katika hili Mikuyu Denis (majadiliano) 15:55, 31 Desemba 2019 (UTC)
Habari za siku. Samahani nauliza kuhusu program ya wikipedia kwa hapo shuleni, siku ile hatukufikia muafaka kama naweza kuwa nakuja kwa vipindi vya wikipedia. Magotech (majadiliano) 05:47, 13 Februari 2020 (UTC)
Habari za siku ndugu. Samahani sana nilipata dharura nikaondoka Morogoro. Sitokuwepo kwa mda kwa maana hiyo sitoweza kuhudhuria katika mikutano ya klabu ya Wikipedia kwa shuleni Alfagems. Samahani sana kwa usumbufu ulio na unaoweza kujitokeza. Nitawatembelea pindi ntakapo rejea tena. Asante MagoTech Tanzania 12:59, 16 Machi 2020 (UTC)
Ndugu unasahisha haraka mno. Meitneri sijamaliza. Sasa nilikuwa na masahihisho katika dirisha langu, nasi sehemu ya kazi yako imepotea, nahofia. TAfadhali nipe masaa kadhaa! Kipala (majadiliano) 15:10, 16 Machi 2020 (UTC)
Hello. I am sure you are right, but we can only use what is available. So do not hesitate to take different pictures, more relevant, I will be glad to insert them. Actually we had the same problem. In the beginning we had only 19th-century engravings. But this is changing rapidly now. And Wiki Loves Africa helps. Have a nice day, Ji-Elle (majadiliano) 14:47, 21 Machi 2020 (UTC)
. Czeus25 Masele (majadiliano)
Naona umependekezwa makala Tarekh ya mitume:Ibrahim ifutwe, ni sahihi maana amenakili yote. Ila usipoandikisha makala katika Wikipedia:Makala kwa ufutaji inaweza kusahauliwa na kubaki. Naomba ukumbuke! Kipala (majadiliano) 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
Ma lei è di Grosseto. Perchè ci siamo già incrociati, ma non mi ricordo dove? Io sono di Castel del Piano. A parte la mia curiosità spero non inopportuna mentre venivo a sbirciare ho notato che ci sono tre link nella colonna a sinistra non tradotti:
se mi scrive la traduzione ve li sistemo su translatewiki. Grazie--Pierpao (majadiliano) 13:12, 26 Aprili 2020 (UTC)
Naona umependekeza tena makala 2 zifutwe. Ila usipoandikisha makala katika Wikipedia:Makala kwa ufutaji inaweza kusahauliwa na kubaki. Nimeona kwa kubahatika tu! Kipala (majadiliano) 11:54, 23 Aprili 2020 (UTC)
Ndugu ricardo mimi ni mgeni hapa sina muda mrefu, ila mara kadhaa nimekua nikiona makala nyngi sana hasa za lugha ya Kiswahili zikiwa zime haririwa na wewe, una mchango mkubwa sana kwenye makala nyingi za Kiswahili Hongera kwako. Nina makala ambayo nimeaianzisha hapa, kwenye swwiki na ningependa uipitie kwa maboresho zaidi, Nafurahi sana kura miongoni mwa watumiaji wa swwiki na ninatazamia kutoa mchango mkubwa kwenye swwiki. Ahsante Na makala hiyo inaitwa Counsellorsalah.
I figured, that I could spread the word about The Church of Almighty God (or "Kanisa la Mwenyezi Mungu" as it's officially called in Swahili), which is also known as Eastern Lightning (or Umeme wa Mashariki).
Here are some links to be shared:
Do you mind if I make a personal userpage for an English mock-up of a Swahili article on The Church of Almighty God?
Thanks for reading. --Apisite (majadiliano) 23:09, 3 Agosti 2020 (UTC)
Labda utaona nimeanzisha makala za wilaya mpya "Mtama" pale Lindi. Basi nilikosea, kesho nitafanya usafi tena (chanzo ni swali lako kuhusu kata lile kama ni mjini au vijijini, nikaangalia orodha ya wakazi wa 2016, nikachanganya wilaya na jimbo....) Nivumilie kidogo, sasa nalala. Kipala (majadiliano) 22:35, 17 Agosti 2020 (UTC)
Ndugu Riccardo, umetupeleka kwa makala 60,000. Hongera na Asante! Kipala (majadiliano)
naomba uangalie tangazo kwenye ukurasa wa Mwanzo (juu) na ukurasa wa Wakabidhi. Kipala (majadiliano) 10:39, 4 Septemba 2020 (UTC)
Nimeangalia makala za Rutamba, Malunde na Madume bora; Malunde najaribu kufuatilia, Rutamba nimesahihisha, Madume bora ningeacha kwa sasa au kufuta, sjui. Tafadhali angalia swali langu kuhusu Taniaba. Kipala (majadiliano) 14:13, 6 Septemba 2020 (UTC)
Ombi tu: tafadhali usianze bado kuhariri kata mpya nilizoingiza katika vigezo vya masanduku ya kata. Kazi hii ni maandalizi ya mafundisho kwa ajili ya wachangiaji wapya, wapate nafasi ya kuhariri kwa njia nyepesi. Kipala (majadiliano) 08:55, 28 Septemba 2020 (UTC)
Habari, ukiwa na nafasi nashukuru ukiangalia baruapepe zako. Kipala (majadiliano) 04:09, 20 Oktoba 2020 (UTC)
Tafadhali angalia baruapepe. Kipala (majadiliano) 14:49, 6 Novemba 2020 (UTC)
Hello Riccardo, could you please kindly clarify the reason why you have deleted this page ? https://sw.wikipedia.org/wiki/Gunter_Pauli Thank you Freemanbat (majadiliano) 13:13, 24 Novemba 2020 (UTC)
Hello,
is it possible to flag the name of the train station Hamburg Dammtor in this map thats shown in the article:
All the names of the stations in this map are flagged in black language, but because this map is also shown in the WP page of Kituo cha Hamburg Dammtor, could you flag the name Hamburg Dammtor in the map of this article in a different colour?
Reg, Alex Owah 84.174.183.93 13:43, 17 Desemba 2020 (UTC)
Hello, I was patrolling recent changes and noticed this article and upon some investigation I found out that it's Google translation of English Wikipedia article, which is a copyright violation, so I am requesting you to delete it. --1997kB (majadiliano) 17:15, 16 Januari 2021 (UTC)
If you'll see the discussion at this page, the article is marked as needing improvement. I already signed up so it can be moved, but I'm not confirmed yet. I don't know what else to do with the article just yet as I'm not fluent in Swahili. But this page and other Disney articles have some problems due to vandalism. One of the other pages with these kinds of problems would be The Fox and the Hound. Bambi and Dumbo are two more. I also saw Teletubbies deleted, but can it be recreated with better content? I like peace and quiet (majadiliano) 21:57, 27 Februari 2021 (UTC)
At Thumbelina (filamu ya 1994), the English text added that was reverted would have helped the article if it had been translated. So, who could translate it? I also wanted to add that Dove Cameron plays the twins in Liv and Maddie. As usual, the English text would have helped the article. For those other pages like The Fox and the Hound, Dumbo, and Bambi, they often have machine translation in them, and the machine translations came from either English or Simple English Wikipedias (or both). The Dumbo page seemed to have the worst translation. Meanwhile, other Disney pages don't exist yet (like Fantasia, Cinderella, Lady and the Tramp, The Aristocats, Oliver & Company, The Little Mermaid, The Rescuers Down Under, and many more. I don't know if it'd be worth it to just create stubs about them. Even if it is, I wouldn't know who could improve them all. Do you? I like peace and quiet (majadiliano) 20:13, 6 Machi 2021 (UTC)
je unaeza fafanua sababu za kutoa sehemu nilioandika kuhusu mwanafalsafa huyu? Sinatrasona (majadiliano) 19:37, 10 Machi 2021 (UTC)
Sì, preghiamo gli uni per gli altri, e anche perchè il signor Corona se ne torni da dov'è venuto al più presto!!!
Scusami per il primo messaggio, me lo sono scritto direttamente nella mia pagoina pensando di scrivere nella tua. Pace a te!
Rei Momo (majadiliano) 23:52, 13 Machi 2021 (UTC)
Hello sir Riccardo Riccioni Could you please write a stub about the Tachelhit language in this wiki ? its an african language in Morocco – just a few sentences based on https://en.wikipedia.org/wiki/Shilha_language ? Thank you very much -- Ayour2002 (majadiliano) 15:03, 17 Machi 2021 (UTC)
Hello Sir!!! Samahani kwa usumbuu, baruapepe ya Ijumaa (matembezi ya anga) ilifika kwako? Kipala (majadiliano) 07:25, 22 Machi 2021 (UTC)
Caro padre Riccardo, Pace!!!
Come stai? Io, mia mamma, la mia morosa e tutte le nostre famiglie stanno bene: tutti negativi al Covid-19!!! Ma in Italia la situazione è molto brutta, anzi, fa schifo, 15 regioni in zona rossa. le nostre mamme hanno fatto le due dosi del vaccino Pfeizer, e hanno avuto solo un po' di male al braccio e un po' di stanchezza nei giorni successivi.
Ieri, il presdiente del Consiglio dei ministri e sua moglie si sono fatti vaccinare pubblicamente con Astra Zeneca.
La Pasqua sarà comunque a casa, tutti confinati, eccetto i ricongiungimenti familiari, ma anche quì ci saranno molte restirizioni.
Per favore, ti chiedo qualche minuto per vedere se vada tutto bene in questa pagina. Secondo me, potresti aggiungere che, attualmente (al momento della sua elezione) è il vescovo cattolico italiano più giovane. Grazie molte per il tuo prezioso aiuto!!!
Una Buona e Santa Pasqua, in comunione
Rei Momo (majadiliano) 08:24, 31 Machi 2021 (UTC)
carissimo padre Riccardo, pace!!! Grazie per le tue preghiere!!! Completerò con piacere le diocesi mancanti della Lombardia. Poi, per le correzioni, ci penserai tu. Grazie ancora, un caro saluto Rei Momo (majadiliano) 09:28, 5 Aprili 2021 (UTC)
Habari, Kuna mtumiaji ambaye ametumia IP address na kufuta makala kwa kuandika maneno ya kingereza. Nimejaribu kumzuia je nimefanya kitu sahihi? Na je ambavyo nimefanya ndo inavyotakiwa kuwa? Asante sana --CaliBen (majadiliano) 08:50, 19 Aprili 2021 (UTC)
Habari Mr Riccardo. Kuna hii makala (https://sw.wikipedia.org/wiki/Josephs_Quartzy) nimejaribu kupitia vyanzo vyake ila nimekuwa na mashaka navyo kama ni vyanzo vya kuaminika moja kwa moja kutumika na kamusi elezo, nimeona vinatoka katika mitandao ambayo mtu anaweza kutengeneza account na kuweka taarifa zake binafsi, unaweza kuitazama zaidi, Amani sana Idd ninga (majadiliano) 22:15, 27 Aprili 2021 (UTC)Idd ninga
Habari, Naomba kuuliza ni kwa namna gani unaweza kuweka redirect. Kuna jamii ya waigizaji filamu wa India nataka niiwekee redirect kuelekea jamii ya waigizaji filamu wa uhindi. Nimejaribu ila sikufanikiwa, naomba mwongozo. Asante! --CaliBen (majadiliano) 05:45, 29 Aprili 2021 (UTC)
Hongera, nikitazama massview analysis hiyo https://pageviews.toolforge.org/massviews/?platform=all-access&agent=user&source=category&range=latest-20&subjectpage=0&subcategories=1&sort=views&direction=1&view=list&target=https://sw.wikipedia.org/wiki/Jamii:Watakatifu_Wakristo
Jamii:Watakatifu Wakristo 2021-04-10 - 2021-04-30
Daily average Totals 3.385 pages 30.090/total 1.433/day
1 Orodha ya Watakatifu Wakristo 1.482 71 / day
Ingawa naona jamii inajumlisha kurasa nyingi ambazo si watakatifu wenyewe (kama vile watu wengi wa Biblia kwa jumla, mahali kama Roma), hata hivyo kuna wasomaji wengi wanaotafuta huduma hiyo! Ubarikiwe! Kipala (majadiliano) 14:21, 1 Mei 2021 (UTC)
Habari Riccardo Riccioni, Naomba kuuliza kuhusu matumizi ya wikimedia special:content translation, nilishauriwa kufundisha watu namna ya kuitumia kutoka kwa mtu ambaye anashiriki kikamilifu kuhakikisha kwamba wikimedia special:content translation inatumika. Juzi nilijaribu kuitumia mwenyewe kuona kama itakua na manufaa kwetu nikaona ni kifaa ambacho kingeweza kutufaa sana kama watu watakaokua wanakitumia watakua makini. Naomba kupata mtazamo wako juu ya kifaa hichi kifaa. Na je ni sahihi nikiwafundisha watu kutoka Arusha kutumia? Asante, --CaliBen (majadiliano) 10:33, 17 Mei 2021 (UTC)
Salaam tele. Unisamehe kwa ukimya wangu, kuna mambo mengi yanaingiliana kwa wakati mmoja. Nimeusoma ujumbe wako na ninakubaliana nao kwa asilimia mia moja. Nilidhani nimeiandika mimi kumbe kumbukumbu zangu zimeyonzwa na msukumo wa maisha!--Muddyb Mwanaharakati Longa 08:28, 30 Mei 2021 (UTC)
Bado sijatosheka na sababu ulizopeana za kufuta aya nyingi nilizowakilisha tawasifu ya mwanafalsafa Arthur Schopenhauer. Mimi ni mzaliwa wa Kenya na nimeongea kiswahili tangu utotoni na nimekua nikisoma Kazi za Schopenhauer kwa miaka zaidi ya saba sasa. Nilikua na nia ya kuandika nakala zaidi nikifafanua nadharia muhimu za mwanafalsafa huyu lakini katisha tamaa na tabia hii yako ya kufutafuta mawakilisho yangu kiholelaholela.. kama kuna kitu yauelewi niambie kwanza tujadili ama urudishe ujinga yako Italia!! Sinatrasona (majadiliano) 11:19, 14 Juni 2021 (UTC)
Hello, @Riccardo Riccioni:! I wrote an article on Andrea Benetti, a well-known Italian artist https://en.wikipedia.org/wiki/Andrea_Benetti_(artist). I used the automatic translator to make a draft https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:BarbaraLuciano13 . Could you help me correct the text and add the infobox with the photo at the beginning and the categories at the bottom? Unfortunately I don't know the language and I am not able to do it ... Thanks for what you can do, see you soon, --BarbaraLuciano13 (majadiliano) 09:05, 19 Juni 2021 (UTC)
Hello, please save the Qaem Shahr article and link it to the wiki data item. Thank Viera iran (majadiliano) 22:45, 24 Julai 2021 (UTC)
Salamu,Katika ukurasa huu hapa https://sw.wikipedia.org/wiki/Mtumiaji:Ultracounter_nitrogenius wakati namkaribisha nilijikuta nimechapisha sehemu ya kurasa ya mtumiaji bila kugundua, ila baada ya kushtuka nikafuta alama na maneno ya ukaribisho na kwenda kuandika upya tena katika ukurasa wa majadiliano, nisaidie kutazama kama itakuwa sawa na msaada zaidi wa maelekezo iwapo ikitokea nimerudia makosa kama hayo, Amani sana Idd ninga (majadiliano)
Hello.
Can you translate and upload the article en:Flag of Azerbaijan in Swahili Wikipedia? It does not need to be long.
Yours sincerely, Multituberculata (majadiliano) 14:06, 4 Agosti 2021 (UTC)
Habari ndugu,
Naona umemzuia mtumiaji Awadhi awampo bila kumpa sababu. Naomba kama hautojali kumwandikia sababu ya kumzuia katika kurasa yake ya majadiliano. Asante.
Amani kwako MagoTech Tanzania (majadiliano) 10:58, 5 Agosti 2021 (UTC)
Naomba uangalie Kigezo:Zuia tafsiri. Itumiwe kwa kunakili ((Zuia tafsiri)) ~~~~ na kuweka kwenye ukurasa wa majadiliano wa mhusika, baada ya kumzuia.
Unadhani inafaa? Kesho nataka kufanya zoom meeting saa 2 usiku kuhusu hiyo. Ungeweza kungia? (najua ni saa mbaya kwako...)
Ndugu, imenibidi kukuzuia kwa sababu zinazotajwa chini. Wakati unapokuwa umezuiwa huwezi kuhariri isipokuwa penye huu ukurasa wako wa majadiliano. Unaweza kunijibu kwa kutumia “Email this user”.
Sababu ni kuwa umeingiza matini iliyopatikana kwa njia ya tafsiri ya kompyuta ikiwa na kasoro nzito ya lugha. Umearifiwa kwamba ni marufuku kumwaga matokeo ya google translate katika makala zetu. Wachangiaji wanaopuuza utaratibu huu wanasababisha hasara kubwa kwa Wikipedia yetu na kuwapa wengine kazi kubwa mno ya kusafisha makosa yao.
Bila shaka una nia nzuri kuchangia katika Wikipedia. Tutafurahi kushirikiana nawe lakini ni lazima ufuate utaratibu. Kazi yetu kama wakabidhi ni kulinda mradi huu.
Ukiwa tayari kufuata utaratibu pamoja na kupitia upya matini ulizozileta tayari, naomba uwasiliane nami kwa kufungua ukurasa wangu (bofya jina langu chini) na kuniandikia baruapepe kwa kubofya “Email this user” upande wa kushoto. Hapo nitaweza kukuruhusu tena. Hapo lazima uwezeshe njia kwa kufuata maelezo katika Wikipedia:Email.
Kipala (majadiliano) 12:00, 11 Agosti 2021 (UTC)
Habari, nimetunga Msaada:Tafsiri. Tafadhalia angalia kama inafaa, inaeleweka n.k. Naona wako wachache watakaoisoma maana wako wanaojitahidi. -- Nimeona nitaje pia ContentTranslation. Hadi sasa nimejaribu kuificha. Lakini hao wote wanatumia google, na google haina msaada kutunza fomati. ContentTranslation angalau inasaidia kupata fomati (interwiki, jamii). Ushauri wako? Kipala (majadiliano) 12:31, 12 Agosti 2021 (UTC)
Habari naona umemzuia Praygood Mwanga, sawa kabisa. Ila naona ni vema kuongeza chini ya kigezo nusu sentensi tunapotaja makala tunayorejelea. Kama ningeelewa vigezo vizuri zaidi, ningeingiza nafasi ndani ya kifupi cha kigezo lakini sijui. Kwa mtu kama yule kijana anayeazisha makala mengi, ni vema kutaja makala husika chini ya kigezo, kabla ya sahihi. Unaonaje? Kipala (majadiliano) 21:19, 19 Agosti 2021 (UTC)
NAona unahariri locations za Kenya ukiziita "kijiji". Nisipokosei hizo ni zaidi kata kuliko "vijiji". Nimekutumia faili ambako nimeorodhesha majina kutoka faili ya sensa; nadhani nimefaulu kutenganisha ngazi mbalimbali jinsi ilivyoandikwa kule.
Nisipokosei, kuna
County - subcounty - division - location - sublocation
ambazo zinalingana na
Mkoa - wilaya - tarafa - kata - kijiji.
Au unaonaje? Kipala (majadiliano) 15:28, 10 Septemba 2021 (UTC)
pitia makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Dougaj pamoja na https://sw.wikipedia.org/wiki/Shule_ya_Sekondari_ya_FPCT_Tumaini nimerekebisha kidogo Justine Msechu (majadiliano) 08:16, 11 Septemba 2021 (UTC)
Riccardo salaam. Wakati ulipoandika vimo vya vilele vya Mlima Kenya, labda ulikuwa umekosea? Ukarasa wa Mlima Kenya una vimo vingine. Amani kwako. ChriKo (majadiliano) 14:11, 16 Septemba 2021 (UTC)
Hello Riccardo Riccioni I hope you're doing well. I'm C1K98V from India. I don't know the language, nor was aware of the sw wikipedia. However, I'm familiar with the policy of wikipedia. I apologize to begin with the wrong step. But my intention was not violate the policy. Please help with expanding the stub subject, creating article associated with India. I upload creative commons license files on wikimedia commons. I assure, I won't create any problem to the community. Please guide me. Thanks for your consideration, stay safe. --C1K98V (💬 ✒️ 📂) 11:39, 25 Septemba 2021 (UTC)
Grazie per il tuo benvenuto :-) La mia utenza qui è stata creata in conseguenza di una rinomina effettuata, non conosco lo swahili ma fa comunque sempre piacere essere "benvenutati", poter ringraziare in italiano è poi davvero una sorpresa! Grazie e buon lavoro! --Civvì (majadiliano) 19:56, 9 Oktoba 2021 (UTC)
Mzee mwenzangu, nisipokosei ulipendekeza makala kadhaa zifutwe, Ila usipopeleka makala hizo kwenye ukurasa wake Wikipedia:Makala kwa ufutaji zitasahauliwa! Kipala (majadiliano) 21:38, 28 Novemba 2021 (UTC)
Asante kwa salamu, nimeiunda kama akaunti mbadala; niliihitaji leo nilitaka kutunga maelezo jinsi ya kujiandikisha kwa matumizi ya barua pepe, na hapo nilihitaji kutumia akaunti mpya ili niweza kuona hatua. Ukiangalia Wikipedia:Mwongozo (Kujisajili) naomba ukague maelezo chini na. 4) kama ni sahihi. Kipala (majadiliano) 09:27, 29 Novemba 2021 (UTC)
Hello Riccardo Riccioni, Would you like to translate the article en:Isabelle de Charrière (Q123386) for the SW Wikipedia? That would be appreciated. Boss-well63 (majadiliano) 08:27, 20 Desemba 2021 (UTC)
Kama kuna kosa umeliona kwenye tasfiri, rekebisha na ujadili kwenye majadilano ya page husika, na utumie lugha ya upole. Asante. --Halidtz (majadiliano) 13:20, 25 Desemba 2021 (UTC)
Grazie per il benvenuto. Potresti aiutarmi ad aggiungere qualche informazione in più all'articolo su Interlingue, per favore? --Caro de Segeda (majadiliano) 12:34, 31 Desemba 2021 (UTC)
Hi!
You get this message because you are an admin on a Wikimedia wiki.
When someone edits a Wikimedia wiki without being logged in today, we show their IP address. As you may already know, we will not be able to do this in the future. This is a decision by the Wikimedia Foundation Legal department, because norms and regulations for privacy online have changed.
Instead of the IP we will show a masked identity. You as an admin will still be able to access the IP. There will also be a new user right for those who need to see the full IPs of unregistered users to fight vandalism, harassment and spam without being admins. Patrollers will also see part of the IP even without this user right. We are also working on better tools to help.
If you have not seen it before, you can read more on Meta. If you want to make sure you don’t miss technical changes on the Wikimedia wikis, you can subscribe to the weekly technical newsletter.
We have two suggested ways this identity could work. We would appreciate your feedback on which way you think would work best for you and your wiki, now and in the future. You can let us know on the talk page. You can write in your language. The suggestions were posted in October and we will decide after 17 January.
Thank you. /Johan (WMF)
18:19, 4 Januari 2022 (UTC)
Hello, Riccardo. I am looking for French speakers, especially French speakers from Africa who use mobile devices for editing. Do you know of anyone here at the Kiswahili Wikipedia who might be interested in talking to me? The goal is to make it easier for people using a smartphone to post on a talk page. You can see the current status on this page by clicking on this link: https://sw.wikipedia.org/wiki/Majadiliano_ya_mtumiaji:Riccardo_Riccioni?dtenable=1 – but it's still too hard, and it isn't available on the mobile site yet. Please let me know if you could recommend any editors who might be affected. Whatamidoing (WMF) (majadiliano) 20:28, 1 Februari 2022 (UTC)
Carissimo Riccardo, Pace!
Come stai? Quì sembra che stiamo migliorando, da ieri non abbiamo più l'obbligo di mascherine all'aperto, anche se l'attenzione è sempre alta. Io e la mia famiglia stiamo bene.
Volevo chiederti un piccolo favore, quando avessi due minuti di tempo: potresti tradurmi in Swahili la didascalia della mia foto nella mia pagina personale? Grazie mille di tutto e buon fine settimana, a presto. Rei Momo (majadiliano) 23:20, 11 Februari 2022 (UTC)
Hello, I saw your request o er at Kipala's talk page and I think there's one way to fix your problem. Since your IP has been blocked as an Open Proxy, it cannot be unblocked rather you can request Global IP block exemption. Email stewards@wikimedia.org . Include:
Hope this helps. Cheers --Synoman Barris (majadiliano) 18:53, 12 Februari 2022 (UTC)
Hello. User:EthanGaming7640 undo vandalism. Please see his contributions. Thank you! AlPaD (majadiliano) 15:29, 17 Februari 2022 (UTC)
Hi! @Riccardo Riccioni:
The ratification voting process for the revised enforcement guidelines of the Universal Code of Conduct (UCoC) is now open! Voting commenced on SecurePoll on 7 March 2022 and will conclude on 21 March 2022. Please read more on the voter information and eligibility details.
Please vote and encourage other editors of Swahili Wikipedia to also vote.
Regards, Zuz (WMF) (majadiliano) 11:24, 11 Machi 2022 (UTC)
Salaam nimeona wewe ni mtaalamu naomba unisaidie kutengeneza (kigezo:infobox) kwaajili ya makala za wachezaji nimeona kwenye wikipedia ya kingereza kwakweli inapendeza mfano kama hii (, https://en.wikipedia.org/wiki/Template:Infobox_football_biography ) amani,sana Hussein m mmbaga (majadiliano) 07:38, 22 Machi 2022 (UTC)
Hi Riccardo Riccioni, I'm going to block globally because I made the bad translations.--Martorellpedro (majadiliano) 19:18, 15 Mei 2022 (UTC)
Learning Jr 10:51, 2 Juni 2022 (UTC)
Unda ukurasa Parvej Husen Talukder. Parvej Husen Talukder ni mshairi na mwandishi wa Bangladeshi. Rnwiki-global (majadiliano) 00:48, 16 Juni 2022 (UTC)
Riccardo salaam. Umeshasoma toleo la mwisho la makala kuhusu shahawa? Nilitaka kupea shahawa ufafanuzi tofauti kwa manii. ChriKo (majadiliano) 13:36, 21 Juni 2022 (UTC)
Habari ndugu,
Nimejaribu kupitia makala ya Sigebert na kuona makala iliyoandikwa haikuwa na uwiano na makala ya kiingereza. Nimejaribu kuirekebisha waweza kuipitia na kuona ilivyo sasa. Katika jina la makala pia naona ulikosea (au ndo ilivyo?).
Amani kwako. MagoTech Tanzania (majadiliano) 15:52, 25 Julai 2022 (UTC)
Habari ndugu Riccardo,
Samahani ninaomba msaada kwenye ukurasa wa mtumiaji "Katimawan2005" uweze kuupitia na kufuta kili nilichochapisha kimakosa wakati ninamtumia salaam ya ukaribisho kwenye wikipedia ya kiswahili, kama ndugu "Kipala" alivyosema kule kwenye group la telegram kuwa hata sisi ambao sio wakabidhi tutoe msaada kwenye kutuma salaam ya ukaribisho kwa kila mtumiaji aliejiunga na Wikipedia ya kiswahili ambaye alikua bado hajapokea salam hiyo.
Asante. Anuary Rajabu (majadiliano) 07:38, 7 Agosti 2022 (UTC)
Habari Wana Wikia kama kuna yeyote wa kuwekeza kuandika makala ya Mtandao wa jamiiTalk na Mwanzilishi wake asaidie. Kwa Maswali zaidi nashauri kumuulize Mwanzilishi wake kwenye Akaunti yake ya JamiiTalk
Riccardo Hi!
I would like to ask you the following: Could [[3]] it be by any chance the same with Seronera (under a different name)? My guess is, that it is most likely the same place (Serengeti National Park cannot have many populated areas within the park).
Asante sana - With kindest regards! --Aristo Class (majadiliano) 20:24, 18 Agosti 2022 (UTC)
Riccardo, habari yako? Je, ungependa kuangalia makala ya Nyegere? Mtu fulani amechangia maandishi ambayo yanaonekana kwangu kama hadithi za kitamaduni. Kwa hivyo nimeweka hii kama kichwa. Kitu kingine ni kwamba siwezi kupata maneno kadhaa katika kanusi yoyote, ingawa Google Translate inaleta tafsiri inayokubalika. Kwa mfano, maana ya kulina na kujambia ni nini? Google inatafsiri ile ya kwanza kwa kuwa na/kumiliki na ile nyingine kwa kuambia. Maandishi hayo yana maana kamili kwako? ChriKo (majadiliano) 07:31, 19 Agosti 2022 (UTC)
Habari, ulimkaribisha. Nahisi ni yeye yule Mtumiaji:Justin yav sony0 uliyemwahi kuzuia tarehe 28.07. Ana na akaunti nyingine mtumiaji:Justin yav sony (sony). Kipala (majadiliano) 16:11, 4 Septemba 2022 (UTC)
Habari
naomba tufanye jaribio la mawasiliano kabla ya Jumamosi. Ninapenda kutumia programu ya Zoom. Hapa natuma link na wewe unabofya tu. Tutaona kama mikrofoni kwenye kompyuta yako itafanya kazi ipasavyo.
Napanga sasa mikutano mawili, maana sijui wewe utakuwa na nafasi leo au kesho na saa ngapi. Napanga leo saa 10 na kesho saa 4. Tafadhali unijibu utakuwepo tayari saa ngapi.
LEO Jumatatu saa 10
Thema: jaribio 1 Uhrzeit: 5.Sept. 2022 04:00 PM Nairobi Zoom-Meeting beitreten https://us05web.zoom.us/j/82223084212?pwd=MEJpdmdGTjgvS2Nvd2U0S1ZwUzJ1dz09 Meeting-ID: 822 2308 4212 Kenncode: u7fvxz
(Sijui kama unahitaji msimbo wa Kenncode...)
Kesho Jumanne saa 4 asubuhi Thema: Mein Meeting Uhrzeit: 6.Sept. 2022 10:00 AM Nairobi
Zoom-Meeting beitreten https://us05web.zoom.us/j/87027674202?pwd=T1o2NlBJQTdxVDRobmpLNmw5Lys4UT09
Meeting-ID: 870 2767 4202 Kenncode: v1tsZM
Kipala (majadiliano) 10:40, 5 Septemba 2022 (UTC)
Habari yako, Riccardo? Niliona ulihamisha makala kuhusu mito Volta ili yapate majina kwa Kishahili. Lakini nafikiri ni bora kuiita Volta Mweupe na Volta Mweusi, kwa sababu hiyo inalingana na ngeli ya neno mto. Vile vile, tunasema: Ujerumani inapakana na Uholanzi, kwa sababu nchi ni ngeli ya n-. Unasemaje? ChriKo (majadiliano) 20:27, 14 Septemba 2022 (UTC)
Asante kwa kuchangia kuhusu Mateso ya Wakristo. Tatizo ukichangia haraka wakati makala bado inaandikwa, sijui tufanye nini . . . Maana mimi huhifadhi mara kwa mara , naogopa kukatwa umeme na kupoteza maudhui. Hivyo nahifadhi, naendelea kujisomea naendelea kuhariri na kuongeza. Nakupongeza kuchangia haraka, ila haraka2 = baraka-3 . Samahani, nachoka sasa, hivyo nitahifadhi hali yangu kwangu, tafadhali uangalie na kuunganisha. Ona hapa Mtumiaji:Kipala/Mateso_ya_Wakristo#Mateso_chini_ya_Decius_na_Valerian
(napanga kuendelea, lakini kwanza naomba uunganishe) Kipala (majadiliano) 18:52, 19 Oktoba 2022 (UTC)
Pole sana. Nimeunganisha. Amani kwako! --Riccardo Riccioni (majadiliano) 06:43, 20 Oktoba 2022 (UTC)
Tafadhali zuia aina ya IP 147.158.0.0/16 kwa sababu ilitumika kuongeza taarifa ghushi kwenye miradi ya Wikimedia kama imeonyeshwa kama hii..... asante....... 36.76.6.84 11:10, 21 Novemba 2022 (UTC)
Simodmart (mwanamuziki) Habari, ninataka kuibadilisha iwe Kifaransa na Kiingereza @Riccardo Riccioni MHMD DM1 (majadiliano) 01:28, 27 Novemba 2022 (UTC)
Riccardo salaam. Ulianzia makala Majira ya joto, lakini Muddyb aliandika makala kuhusu mada hiyo hiyo yenye kichwa Kipindi cha Kiangazi. Kwa maoni yangu kiangazi haiwezi kutumiwa kurejezea "summer". Unakubali? Misimu katika kando za wastani ni tofauti na ile ya ukanda wa tropiki, kwa hivyo inapaswa kuwa na majina tofauti. Kwa kanda za wastani, tunaweza kutumia majina uliyopendekeza. Kwa ukanda wa tropiki, napendekeza kiangazi kwa msimu wa ukame na masika kwa msimu wa mvua. Ambapo kuna misimu miwili ya mvua kwa mwaka, tutatumia mvuli kwa msimu mfupi wa mvua na kifuku kwa msimu mrefu wa mvua. Unaonaje? ChriKo (majadiliano) 07:32, 19 Desemba 2022 (UTC)
kwa nini ulifuta nakala zangu zote mbili kutoka kwa Wikipedia naweza kujua sababu na ikiwa ninafanya chochote kibaya unaweza kunielekeza nawezaje kurekebisha makosa yangu HAAN BHAI ABHI (majadiliano) 11:21, 6 Februari 2023 (UTC)
Jibu kutoka Ingo Koll, [07/02/2023 11:33] tahadhari: Nimetambua majaribio kadhaa za kuanzisha makala za wajasiriamali kutoka nchi mbalimbali zinazopewa makala kwenye swwiki. Ninahisi kuna mtu / kampuni inayolipwa ikijaribu kuingiza watu wasio na umaarufu katika wikipedia kupitia swwiki. Kama mtu kutoka nchi ya mbali anapata makala kwenye swwwiki lakini hakuna makala enwiki au penginepo, ni dalili yule si maarufu. Nimeona vyanzo ukichungulia ni tovuti za wenyewe au taarifa katika blogu zinazoonekana zinatoa taarifa kwa malipo kwa watu kujipromote. naona sawa tukifuta. --Riccardo Riccioni (majadiliano) 10:10, 7 Februari 2023 (UTC)
Shikamoo, Riccardo Riccioni.
Asante kwa kusahihisha makosa yangu kwenye Chalcedon. Sasa ninaanza kufundisha theolojia katika Kiswahili katika Tanzania, kwa hiyo natumaini - Mungu akipenda - nitaweza kuendelea kuandika zaidi katika sw.wikipedia.org
Nina swali. Unafikiri nafsi ni tafsiri nzuri ya hypostasis? Kama unavyojua, Wakristo wanaamini kwamba Yesu alikuwa mwanadamu kamili, kutia ndani nafsi ya kibinadamu. Kwa hivyo nina wasiwasi kwamba kwa kusema kwamba kwa kutafsiri 'Yesu ni hypostasis moja na umungu na ubinadamu' kuwa 'Yesu ni nafsi moja yenye umungu na ubinadamu' itamaanisha kwamba watu wanafikiri kwamba Yesu ana nafsi ya kimungu inayokaa ndani ya mwili wa mwanadamu. Hili ni tatizo katika kila lugha! TeolojiayaKiswahili (majadiliano) 08:42, 15 Februari 2023 (UTC)
Nmeona kwenye makala hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Konstantinos_Tsimikas nliyoiandika uliondoa Jamii ya Liverpool ningependa kujua ni kwanini? Ilinisirudie makosa hayo hayo katika makala nyingine Husseyn Issa (majadiliano) 12:17, 15 Machi 2023 (UTC)
Husseyn Issa (majadiliano) 00:06, 18 Machi 2023 (UTC)
Hello, ningependa kufahamu kwanini ukurasa wetu sisi wanachama wa LGBT umefutwa. Je, pengine inaweza kuwa ni unyanyasaji kwetu sisi wanachama wa LGBT? Au tunakandamizwa kwa namna moja ama nyingine? Mister Way (majadiliano) 14:10, 6 Aprili 2023 (UTC)
Shikamoo ndugu Riccardo, ningependa kujua kama kuna programu inayotumika kujua makala zilizo anzishwa ama kuhaririwa hivi karibuni? Nimeona mara nyingi ukurasa wa mabadiliko ya karibuni mara nyingi unaweza usione vizuri kwakuwa kunakuwepo na matukio mengi. Kwa maarifa yangu nimeona kuna programu ya kuona waandishi wapya waliofungua akaunti zao punde na hata muda kidogo uliopita ambapo tumekuwa tukitumia programu hii https://sw.wikipedia.org/wiki/Maalum:Kumbukumbu/newusers pia kama njia rahisi ya kuona na kuwakaribisha ndugu zetu wageni katika uandishi wa makala,hivyo ningependa kujua kama kuna programu katika kupata makala mpya zilizo zanzishwa hivi karibuni na muda mrefu uliopita pia? Husseyn Issa (majadiliano) 09:39, 20 Mei 2023 (UTC)
Habari ndugu @Riccardo Riccioni natumaini uko salama, Ninaomba kujua kama unaweza kunifundisha namna ya kutengeneza infobox na vigezo kadhaa kwasababu nimeona watu wengi wanapata changamoto ya kuweka infobox na wamekua wakitumia Databox ambayo inaleta taarifa ambazo sio sahihi. Asante Justine Msechu (majadiliano) 08:01, 2 Julai 2023 (UTC)
kwa nini makala niliyochangia ya "shule ya sekondari ya Minaki " imefutwa na RICCARDO RICCION? Jr 13:41, 11 Julai 2023 (UTC)
You have been a medical translators within Wikipedia. We have recently relaunched our efforts and invite you to join the new process. Let me know if you have questions. Best Doc James (talk · contribs · email) 12:34, 13 August 2023 (UTC)
Ciao. Riccardo Riccioni
Sono Lee Kang-cheol, l'amministratore della Wikipedia in coreano.
Si è verificato un errore nel bloccare LR0725. LR0725 è l'amministratore della Wikipedia in coreano. Inoltre, detiene i diritti su molti altri progetti.
Condivido di seguito l'elenco degli account globali per la versione italiana.
It:Speciale:UtenzaGlobale/LR0725
hello. Riccardo Riccioni
I am Lee Kang-cheol, the administrator of the Korean Wikipedia.
There was an error in blocking LR0725. LR0725 is the admin of the Korean Wikipedia. Additionally, he holds rights to several other projects.
I share the global account list for the Italian version above.
--이강철 (majadiliano) 16:04, 8 Septemba 2023 (UTC)
Salamu Riccardo Riccioni! Tafadhali ondoa Utawala, IA, Haki za Mtayarishaji Akaunti na Urasimi.
Ndugu yetu, Kipala, alifariki miezi michache iliyopita na kifo chake kimekuwa hasara kubwa kwa kikundi chetu cha Jumuiya ya Wikipedia ya Kiswahili. Asante. -- Tumbuka Arch★★★ 08:07, 19 Septemba 2023 (UTC)
Wakati nikifikiria kutoa adhabu kali kwa mtajwa hapo juu, nimekuta amepigwa spana mbili mfululizo. Ya wiki, baada ya kutambua usumbufu wake, ukapiga ya milele. Nimefurahi mno. Huwezi kutoka huko ukaja kuchukua credit za watu waliofanya kazi miaka tele kwa maneno mawili. Hongera sana. Hapa si mahali pa kujipaia sifa za kijinga. Akitaka hizo sifa aende kwao. Asifunguliwe kabisa. Muddyb Mwanaharakati Longa 19:37, 21 Septemba 2023 (UTC)
We have this tool that condenses references. But it takes a few hours before it runs. Pertaining to this article Kukosa usingizi Best Doc James (talk · contribs · email) 00:23, 24 Oktoba 2023 (UTC)
Carissimo pe Riccardo, Pace!
Per favore, daresti un'occhiata a questa nuova pagina che ho appena aperto quì? Ci sarebbero un paio di parole che ho lasciato in Inglese, per favore potresti tradurle tu? Quando avessi bisogno per il Francese o il Portoghese, ci sono!
Buona domenica Rei Momo (majadiliano) 15:56, 2 Desemba 2023 (UTC)
Mambo, nadhania tubadilishe jina la makala ya "mvutano" kuwa "uvutano". Nikitafuta maneno haya mawili katika google, inaonekana kuwa "mvutano" hutumiwa ili kumaanisha vita, harakati, n.k. Lakini, "uvutano" hutumiwa kama "gravity" kwa kawaida zaidi (makala za BBC ni mfano mzuri wa hivyo). Kwa hiyo, nadhania "uvutano" ni jina bora la makala hii. Siwezi kuhamisha ukurasa kwenye "Uvutano" (tayari kuna ukurasa wenye jina hili). Ungweza kufanya hiyo? Asante sana Kisare (majadiliano) 06:27, 10 Desemba 2023 (UTC)
Habari !
Ninatoka Guyani ya Kifaransa, ninazungumza lugha ya Kifaransa, Kiingereza na Kikrioli ya Guyani ya Kifaransa.
Nilitaka kukuambia tu kwamba nadhani ni muhimu kuashiria tofauti katika jina la Guyana ya Kifaransa na nchi ya Guyana katika lugha ya Kiswahili kwa sababu tofauti hii ipo katika lugha nyingine zinazozungumzwa katika eneo kama vile Kifaransa, Kiingereza na Kihispania...
kwa mfano:
Kwa hivyo, nadhani "i" badala ya "a", mwishoni mwa neno: GuyanA (ya Kifaransa) ni bora kutofautisha Guyana na nyingine...! PouLagwiyann (majadiliano) 16:19, 4 Januari 2024 (UTC)
Ikiwa neno halipo katika Kiswahili, tutengeneze au turekebishe neno kutoka lugha nyingine, kama Kiswahili na lugha zote za dunia tayari zimefanya...
Kukaa hapa, kutofanya lolote na kulia kwa kukosa neno uswahilini kunatufanya turudi nyuma hatua mbili tatu na kutoendelea. kinachofanya lugha kuwa hai ni kwamba anabadilika kwa kuunda au kuazima baadhi ya maneno kutoka lugha nyingine. Kiswahili ni lugha hai sio mfu ambayo inaogopa sana wawili kukopa wengine dunia mbili inabadilika... Kwa hivyo sioni ni nini kigumu kwako hapa.
Na katika Guyani ya Kifaransa, tuna njia yetu wenyewe ya kuzungumza Kifaransa, sio sawa na Paris na kikrioli yetu pia kwa hivyo hatuwezi kuiita Krioli yetu "guyani cha kifaransa" kama ulivyosema kwa sababu inawakilisha lugha yetu ya Kifaransa tunayozungumza hivyo sisi. Unahitaji jina lingine la krioli ya guyani ya kifaransa.
Na nazungumza Kiswahili lakini si 100% bali zaidi kama 50/60%. Lakini Kiingereza changu, Kifaransa na Kikrioli cha Guyani ya Kifaransa ziko kwenye uhakika. PouLagwiyann (majadiliano) 14:31, 5 Januari 2024 (UTC)