Mito ya Ethiopia ni mingi; humu imeorodheshwa baadhi tu pamoja na matawimto:

  1. kulingana na beseni lake (kadiri inavyoelekeza maji yake katika Bahari ya Kati au katika Bahari ya Hindi au katika maziwa na mabonde ya ndani)
  2. kadiri ya alfabeti.

Kadiri ya beseni

Bahari ya Kati

Ramani ya beseni la mto Atbarah.
Beseni la mto Abay.
Beseni la mto Sobat.

Bahari ya Hindi

Ramani ya mabeseni ya Mto Jubba na Mto Shebelle.

Bonde la Afar

Ramani ya Mto Awash.

Ziwa Ziway

Ziwa Turkana

Ramani ya mto Omo.

Ziwa Abaya

Ziwa Chew Bahir

Kwa utaratibu wa alfabeti

Baadhi ya mito huenda ikaorodheshwa mara mbili kwa tahajia tofauti kidogo.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Orodha ya mito ya Ethiopia