Mito ya Kenya ni mingi; humu imeorodheshwa baadhi tu pamoja na matawimto:
- kulingana na beseni lake (kadiri inavyoelekeza maji yake katika Bahari ya Hindi mashariki mwa nchi ama moja kwa moja ama kwa kuchangia Mto Jubba, mto Tana au mto Athi-Galana-Sabaki, lakini kuna pia mito inayochangia Bahari ya Kati kupitia mto Naili, huku mingine inaishia katika mabonde nchini kama la Ziwa Turkana)
- kadiri ya kaunti inapoanzia au inapopatikana.
- kadiri ya alfabeti.
Kwa utaratibu wa alfabeti
Baadhi ya mito huenda ikaorodheshwa mara mbili kwa tahajia tofauti kidogo.