Mto Mware ni kati ya mito ya mkoa wa Kilimanjaro (Tanzania Kaskazini Mashariki).

Unapitia Materuni halafu una maporomoko ya maji.

Tazama pia

[hariri | hariri chanzo]

Tanbihi

[hariri | hariri chanzo]

Viungo vya nje

[hariri | hariri chanzo]