Papa Yohane X.

Papa Yohane X alikuwa Papa kuanzia Machi/Aprili 914 hadi Mei/Juni 928 alipofungwa na watawala wa mji wa Roma. Alifariki kifungoni mwaka uleule au 929[1]. Alitokea Tossignano, Imola, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Yohane.

Alimfuata Papa Lando akafuatwa na Papa Leo VI.

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Yohane X kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.