Karolo Mkuu na Papa Adriano I.

Papa Adrian I alikuwa Papa kuanzia tarehe 1/9 Februari 772 hadi kifo chake tarehe 25 Desemba 795[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Jina la baba yake lilikuwa Theodorus.

Alimfuata Papa Stefano III akafuatwa na Papa Leo III.

Tazama pia

Tanbihi

  1. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.html
  2. https://www.vatican.va/content/vatican/en/holy-father.index.html#holy-father

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Papa Adrian I kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.