Papa Boniface IV, O.S.B. (takriban 550 – 8 Mei 615) alikuwa Papa kuanzia tarehe 25 Agosti 608 hadi kifo chake[1]. Alitokea mkoa wa Abruzzi, Italia[2][3]. Baba yake alikuwa tabibu, jina lake Yohane.
Alimfuata Papa Bonifasi III akafuatwa na Papa Adeodato I.
Chini ya Papa Gregori I alikuwa shemasi mkuu[4].
Alistawisha umonaki na kugeuza Pantheon, hekalu la miungu yote mjini Roma, kuwa kanisa kwa heshima ya Bikira Maria na wafiadini wote[5].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Makala hii kuhusu Papa fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Papa Boniface IV kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |